Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Dar hiyo yenye mafuriko ndio maisha mazuri. Hauko serious
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urais ukienda huko tumekwisha.....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo usidanganye. Wamanyema wamejaa Bukoba mjini. Maeneo yote ya kuanzia Shimwanyi, Kyamyolwa, Bi
Burigi na sasa Karagwe wasukuma wametamalaki. Hui ndio ukweli mchungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu ukizid sana hunenepesha makalio ivi mpaka leo bdo mnahitaj jengo la mahakama la leo lifanane na la miaka hamsini huko nyuma au sababu limejengwa chato...nonsense yan hata uzuri wa jengo nayo hoja lingejengwa la miaka 47 ungekuja kuponda humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe na wewe Jamaa ni mpuuzi hivi. [emoji117][emoji117][emoji117]ni rahisi sana kuongea kuliko kuthibitisha... Unapochangia mada ya mpuuzi nawe unakuwa mpuuzi unalitambua hilo?
Jr[emoji769]
 
Wewe jamaa sijui hata kanda ya ziwa umeshafika, maana kila unachopost ni uharo tu na kukurupuka. Unalinganisha mmsai na msukuma wewe ? We jitekenye tu hujui kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena bora Wamasai Mara 10000 kuliko Wasukuma Washamba.

Ogopa sana jamii wasiopendana hata wao kwa wao wenyewe.

Nenda mererani kwa Wamasai wenye migodi uone walivyo na ushirikiano halafu linganisha na Wasukuma.

Ninasema hivyo kwakuwa pia Nina ndugu zangu Wasukuma wa Geita.

Msukuma akifanikiwa hataki kumuinua mwenzie...anapenda anyenyekewe na ndugu zake na kuonekana tajiri.

Kungekuwa na Upendo Wasukuma wangekuwa mbali sana kwasbb ni wachapakazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hapo ndo wanapofeli
Ina maana ktk makada nchi nzima hamna wa kanda nyingine mwenye uwezo?..

Zama hizi u will win me kama unatizama mbele kama nchi tunaendaje na sio ukanda
Chadema ni wapuuzi huwa wanapuuza mambo madogo madogo alafu badae wanachapwa nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo usidanganye. Wamanyema wamejaa Bukoba mjini. Maeneo yote ya kuanzia Shimwanyi, Kyamyolwa, Bi
Burigi na sasa Karagwe wasukuma wametamalaki. Hui ndio ukweli mchungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo sehemu ulizotaja sio uhayan hata kidogo


Sidhani kama unapafahamu uhayan

Tofautisha uhayani na kagera .Pia bukoba na kagera


Hao wamanyema watajifanya wahaya Tu hawawezi kuishi kama walivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wazo la Nyerere kuwa Dodoma iwe mji mkuu asingetoa je endapo leo tungetoa wazo kama hilo unafikiri tungeshawishi mji gani uwe makao makuu ya serikali ya Tanzania?...(povu ruksa)
 
Nimekusoma...
Chato hao wa kaskazini hutawaona sisi wenyewe tumejipanga kisawasawa. Kwanza huku hawako wengi tuko wenyewe na wanawake wa Kinyarwanda mkuu usisahau na wahaya!

Jr[emoji769]
 
Hivi wazo la Nyerere kuwa Dodoma iwe mji mkuu asingetoa je endapo leo tungetoa wazo kama hilo unafikiri tungeshawishi mji gani uwe makao makuu ya serikali ya Tanzania?...(povu ruksa)
Number moja ni chatoooooooo!
 
Mkuu asante, sio Simanjiro tu. Viwanda hivyo vipo Same Umasaini, Longido na Morogoro. Wamasai ni namba nyingine kabisa huwezi kulinganisha na jamii nyingine za wafugaji leave alone "Wasukuma".... Serikali leo hii ikiacha uporaji wa ardhi ya wafugaji for conservations and farming expansion, Wamasai hawatohitaji maji, hospitals, shule na huduma zingine zozote serikalini maana wanauwezo wa kijitosheleza kupitia mifugo yao. "Leave us alone" ndio slogan yao....

"Wakati wamasai wakitaka serikali iache ardhi yao kama ilivyo, Wasukuma wao wanaiomba serikali iwapatie NATIONAL PARKS & FOREST RESERVE"
Viwanda vya maziwa na products za maziwa mfani Simanjiro pamoja na viwanda vya nyama vinamilikiwa na Wamasai.

Asilimia ndogo ndio inamilikiwa na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya themanini waziri mkuu tu alitokea wilaya moja ukanda wa kaskazini. Eneo alipotokea kulijengwa barabara zenye kiwango cha lami kila kona huku barabara kuu ya kuelekea kaskazini ikiwa na hali duni. Vijana wengi humu hawajui haya.
 
Unamzungumzia Cleopa Msuya nadhani
Miaka ya themanini waziri mkuu tu alitokea wilaya moja ukanda wa kaskazini. Eneo alipotokea kulijengwa barabara zenye kiwango cha lami kila kona huku barabara kuu ya kuelekea kaskazini ikiwa na hali duni. Vijana wengi humu hawajui haya.

Jr[emoji769]
 
Wewe jamaa sijui hata kanda ya ziwa umeshafika, maana kila unachopost ni uharo tu na kukurupuka. Unalinganisha mmsai na msukuma wewe ? We jitekenye tu hujui kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kanda ya ziwa? Mbona Nina biashara nyingi tu huko?
Pâle mwanza wachaga wanamiliki ghorofa nyingi Sana
Ile hôtel ya gold crest nayo ya mchaga
Ukija maeneo ya magu ndio hatari,sengerema pale maduka makubwa ya kilimo na mifugo Ni yao
Msambazaji mkuu wa pembejeo sengerema nzima Ni mzee masashuo mchaga wa ROMBO yaan wamejaa kama siafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…