Huu ni uhaba wa fikra unabomoa nyumba ety zimechakaa wakati huo huo kuna madarasa ya skul hayafai kuwa madarasa na bado yanatumika tena n ya serikal wakitaka fanya ivyo watafute mji mpya waujenge upya uwe town kusiwe na nyumba chakavu kama india (waliiacha DELHI wakaenda jenga mji mpya wakauita NEW DELHI uliopangiliwa vizur)Serikali ikimalizana na kuwaondoa Wamachinga waazae Campaign ya Kuondoa nyumba zote chafu na za zaman ambazo watu wake wameshindwa kuziboresha na maeneo yauzwe kwa Watu wenye uwezo wa kuweka nyumba za kisasa.
Hii itasaidia sana majiji mengi hapa Tanzania kuwa safi na kuwa na Muonekano mzuri.
Pembezoni mwa barabara zimejaaa nyumba nyingi ambazo watu wake wameshindwa kuziboresha na zinafanya majiji kuonekana hakuna mipango miji.
Serikali ifanye Mpango wa kuongea na watu wenye hizo nyumba ikiwezekana wapewe maeneo mengine wakajenga na maeneo yao yauzwe kwa watu wenye uwezo wakujenge nyumba za kisasa.
Frankly speaking nyumba nyingi za zamani zilizochakaa zinaaribu sana mvuto wa jiji bora wenye hizo nyumba waziuze wakajenge sehemu zingine.
Wenye nyumba chafu za zamani ziuzeni mkanunue sehemu nyingine sio lazima kukomaa na jiji huku huwez kuboresha hata nyumba viwanja vimejaaa Kibaha, goba, Mapinga, Kigamboni, bagamoyo unanunua shamba kubwa tu unapata na sehemu ya bustani sio unakaa town unashindwa hata kulima mboga.
Mfano Kama kuna mtu ana nyumba sinza kuuza hata 200M inawezekana then akaenda kununua kiwanja kigamboni au Kibaha ambavyo vinauzwa (1.8M-2.5M) kwa hela hiyo anaweza kujenga bonge la mjengo na maisha yakaenda.
Ni suala la mazingira safi ambayo yataondoa uchafu mababarani, kunakopelekea kustawisha mazalio ya mbu na vyura wenye kelele kutwa kucha.Huwa nashangaa hoja za kupendezesha mji. Unapendezesha mji ili iweje?
Yaani utese watu kwa kuwabomolea nyumba zao ili upendezeshe mji. Umpendezeshee nani na kwa sababu gani?
Mawazo ya kishamba kabisa.
Ikiwa pesa za kununua ndege, wapinzani,kurudia chaguzi,kujenga ikulu mpya, kuhamia Dodoma zipo Kwann serikali isizikarabati nyumba hizoZina haribu muonekano wa jiji kabisa
Naunga mkono hoja kariakoo zipo nyingi na mtaa wa indiaWandae sheria kisha utekelezaji uanzie jijini Dar na Tanga mana kuna nyumba (magofu) nyingi za hovyohovyo tena katikati ya mji.
ACHA VISASI MKUU. HIZO NYUMBA NA ARDHI NI ZA WENYEWE. KAMA BABA YAKO ALIKUWA ANAKULA BATA HAKUCHUKUA KIWANJA KIZURI USITAFUTE VISA BALI TAFUTA HELA UVINUNUE WW UJENGE HIZO NYUMBA BORA NA ZA KISASA..Serikali ikimalizana na kuwaondoa Wamachinga waazae Campaign ya Kuondoa nyumba zote chafu na za zaman ambazo watu wake wameshindwa kuziboresha na maeneo yauzwe kwa Watu wenye uwezo wa kuweka nyumba za kisasa.
Hii itasaidia sana majiji mengi hapa Tanzania kuwa safi na kuwa na Muonekano mzuri.
Pembezoni mwa barabara zimejaaa nyumba nyingi ambazo watu wake wameshindwa kuziboresha na zinafanya majiji kuonekana hakuna mipango miji.
Serikali ifanye Mpango wa kuongea na watu wenye hizo nyumba ikiwezekana wapewe maeneo mengine wakajenga na maeneo yao yauzwe kwa watu wenye uwezo wakujenge nyumba za kisasa.
Frankly speaking nyumba nyingi za zamani zilizochakaa zinaaribu sana mvuto wa jiji bora wenye hizo nyumba waziuze wakajenge sehemu zingine.
Wenye nyumba chafu za zamani ziuzeni mkanunue sehemu nyingine sio lazima kukomaa na jiji huku huwez kuboresha hata nyumba viwanja vimejaaa Kibaha, goba, Mapinga, Kigamboni, bagamoyo unanunua shamba kubwa tu unapata na sehemu ya bustani sio unakaa town unashindwa hata kulima mboga.
Mfano Kama kuna mtu ana nyumba sinza kuuza hata 200M inawezekana then akaenda kununua kiwanja kigamboni au Kibaha ambavyo vinauzwa (1.8M-2.5M) kwa hela hiyo anaweza kujenga bonge la mjengo na maisha yakaenda.
Mkuu, New delhi ulijengwa na wakoloni wa kiingereza kwa ajili ya shughuli zao za kikoloni khasa usafirishaji malighafi na ukawa mji kamili wa kibiashara mwaka 1931.huu ni uhaba wa fikra unabomoa nyumba ety zimechakaa wakati huo huo kuna madarasa ya skul hayafai kuwa madarasa na bado yanatumika tena n ya serikal wakitaka fanya ivyo watafute mji mpya waujenge upya uwe town kusiwe na nyumba chakavu kama india (waliiacha DELHI wakaenda jenga mji mpya wakauita NEW DELHI uliopangiliwa vizur)
Wote mnaounga hoja acheni visa. Narudia. Acheni visa vya kishirikina aisee. Wamachinga sawa.. Waondolewe hata kwa viboko. Ardhi sio yao. Walivamia maeneoNaunga mkono huja Masikini ndio chanzo cha uchafu katika miji mingi..waondolewe.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnakubali nini sasa? Baba zenu wazembe walishinda kijiweni na kula bata wakati wenzao wanachukua plots za ukweli.NAKUBALI
Nasema hivi. Tafuteni hela. Watu mnaoongea hapa hata mkipewa hivyo viwanja hamtajenga kitu. Akipewa Mo au Bakhreaa tutalaani wote. Ndio umaskini ulivyo. Tupambane kuutooomeza lakini sio kwa visa hivi.Wandae sheria kisha utekelezaji uanzie jijini Dar na Tanga mana kuna nyumba (magofu) nyingi za hovyohovyo tena katikati ya mji.
Kwani nani kasema wawekezaji hawajapewa hivyo viwanja? Ni hela yako tu mkuu ukitaka kiwanja chochote na popote Tanzania unakipata baada ya kumnunua mtu na kumhamisha fasta. Na kama serikali ikiamua kuvichukua kwa nguvu pasipo kulipa fidia itakuwa ni UGAIDI WA HALI YA JUU.Kabisa wajengewe nyumba pembezoni mwa miji huko waachie viwanja vya mjini vipewe wawekezaji hilo ni Big YES
Mkuu una wazo zuri lakini kwa kuwaondoa wenye mji hilo hapana.Serikali ikimalizana na kuwaondoa Wamachinga waazae Campaign ya Kuondoa nyumba zote chafu na za zaman ambazo watu wake wameshindwa kuziboresha na maeneo yauzwe kwa Watu wenye uwezo wa kuweka nyumba za kisasa.
Hii itasaidia sana majiji mengi hapa Tanzania kuwa safi na kuwa na Muonekano mzuri.
Pembezoni mwa barabara zimejaaa nyumba nyingi ambazo watu wake wameshindwa kuziboresha na zinafanya majiji kuonekana hakuna mipango miji.
Serikali ifanye Mpango wa kuongea na watu wenye hizo nyumba ikiwezekana wapewe maeneo mengine wakajenga na maeneo yao yauzwe kwa watu wenye uwezo wakujenge nyumba za kisasa.
Frankly speaking nyumba nyingi za zamani zilizochakaa zinaaribu sana mvuto wa jiji bora wenye hizo nyumba waziuze wakajenge sehemu zingine.
Wenye nyumba chafu za zamani ziuzeni mkanunue sehemu nyingine sio lazima kukomaa na jiji huku huwez kuboresha hata nyumba viwanja vimejaaa Kibaha, goba, Mapinga, Kigamboni, bagamoyo unanunua shamba kubwa tu unapata na sehemu ya bustani sio unakaa town unashindwa hata kulima mboga.
Mfano Kama kuna mtu ana nyumba sinza kuuza hata 200M inawezekana then akaenda kununua kiwanja kigamboni au Kibaha ambavyo vinauzwa (1.8M-2.5M) kwa hela hiyo anaweza kujenga bonge la mjengo na maisha yakaenda.
Tunapambana na vitu tusivyovielewa.
Kwani maisha ni nini hasa?
Je muonekano bora unakidhi haja ya maisha bora?
Kuwaondoa machinga mijini ni kuwaonea kwani wao hawana haki ya kuwepo mjini.Machinga achafui mazingira kama akishirikishwa.
Wote mnaounga hoja acheni visa. Narudia. Acheni visa vya kishirikina aisee. Wamachinga sawa.. Waondolewe hata kwa viboko. Ardhi sio yao. Walivamia maeneo