Mkimaliza Kuwaondoa Wamachinga muanze kampeni ya Kuondoa Nyumba za Zamani zilizopo Pembezoni Mwa barabara

Hivi Ile ya pale Victoria Kama unatoka Morroco ndio imeshindwa kuondokewa kabisa....sio nyumba zote zinaguswa....kwani Sheria inasemaje? mbona Kariakoo zipo kibao ..
 
Serikali ikimalizana na kuwaondoa Wamachinga waazae Campaign ya Kuondoa nyumba zote chafu na za zaman ambazo watu wake wameshindwa kuziboresha na maeneo yauzwe kwa Watu wenye uwezo wa kuweka nyumba za kisasa

Mkuu hatuwezi kuziacha nyumba zetu kisa wewe unaziona zimechakaa. Nikakae kibaha ili iweje!. usichukulie kuuza nyumba ni uamuzi rahisi tu kama kuuza simu na kununua nyingine.
 
Hivi Ile ya pale Victoria Kama unatoka Morrico ndio imeshindwa kuondokewa kabisa....sio nyumba zote zinaguswa....kwani Sheria inasemaje?mbona kariakoo zipo kibao ..
Zote hizo za Kkoo ni za kuvunjwa
 
Mkuu hatuwezi kuziacha nyumba zetu kisa wewe unaziona zimechakaa.Nikakae kibaha ili iweje!.usichukulie kuuza nyumba ni uamuzi rahisi tu kama kuuza simu na kununua nyingine.

Hizo ni akili finyu Serikali ikianzisha huo mpango mbona mtaenda hata kukaa Rufiji bila kupenda
 
Naunga mkonyo hoja, Shaurimoyo Manzese, Tandale Buguruni Vingunguti, Ubungo maji kwa kuanzia wavunje vibanda umiza vyote nyumba za hovyo mabati yamejaa kutu tupu kama huamini shuka na ndege uone Dar ilivyo mbaya

Kabisa zinafanya jiji linaonekana halina mpangilio
 
kwa mfano Jiji la Mbeya , kati ya Ilomba na Mama John, watu wameziba mitaa (vichochoro ) watu wameviziba kwa vijumba vya hovyo , madiwani sijui wanajadiliana nini ?
ila siasa mara nyingi zinaharibu sana, maana mtu anaangalia kura zake binafsi badala ya maslahi mapana, sasa jiji la Mbeya mitaa yote imezibwa kati ya ILOMBA NA MAMAJOHN
 
Mfano mzuri ni pale Msamvu Moro, Morena hotel imejengwa vizuri sana ila angalia nyumba zilizopo nyuma ya ile hotel.🏃🏃🏃
 
kwa mfano Jjij la mbeya , kati ya Ilomba na Mama John, watu wameziba mitaa (vichochoro ) watu wameviziba kwa vijumba vya hovyo , madiwani sijui wanajadiliana nini ?
ila siasa mara nyingi zinaharibu sana , maana mtu anaangalia kura zake binafsi badala ya maslahi mapana, sasa jiji la mbeya mitaa yote imezibwa kati ya ILOMBA NA MAMAJOHN

Dah nyumba zisizokuwa na mpangilio znaaribu sana majiji
 
Mkuu hatuwezi kuziacha nyumba zetu kisa wewe unaziona zimechakaa.Nikakae kibaha ili iweje!.usichukulie kuuza nyumba ni uamuzi rahisi tu kama kuuza simu na kununua nyingine.
Uzeeni hyo nyumba ya urithi 300milioni nendeni zenu Kgmbn huko mkajenge nyumba za maana na hela za mtaji zinabaki
 
Back
Top Bottom