Mkienda Zaire Muwe Makini

Duduwasha

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
5,703
3,653
Kuna Jamaa alienda Congo (Zaire) Katika Kutembezwa na Mwenyeji wake katika Jiji la Kinshansa wakakatiza katika mitaa karibu na soko kulikuwa na Njia ndogo na kwa mbele ya ile Njia kulikuwa na Mtu anaimba 27, 27, 27, 27, 27, 27, huku anazunguka Shimo lililokuwa mbele yake pia akilichungulia kwa ndani .. Jamaa akavutiwa Sana na ile hali ya Jamaa alivyokuwa akicheza huku analizunguka na kuchungulia lile Shimo, Mwenyeji wake akamuambia achana nae yule wakampuuza...

Baada ya mizunguko zaidi mjini pale wakawa wanarejea kwenye maskani yao walipofikia huku wakipita Njia ile ile karibu na Soko... jamaa alikuwa akimuwazia yule Mtu alivyokuwa akicheza kwani alivutiwa nae, ndipo walipofika maeneo ya karibu pale muimbaji alishabadili wimbo tena akiimba 28, 28, 28, 28 ,28 bila kuachia Pumzi, Jamaa akamsogelea Yule muimbaji achungulie ndani kuna nini Ghafla yule jamaa akaacha kuimba na akamsokomeza Mjamaa Ndani ya Shimo then akaanza kuimba tena 29, 29, 29, 29, 29, huku akilichungulia lile Shimo... Mwenyeji alibaki kaduwaa
 
[FONT=times new roman,helvetica]
Padri Dents Aliingia Ghafla Jolly Club Hafla, Kisha akaanza kumuuliza Kijana wa Kwanza aliyekutana nae,

Padri: Utanaka kwenda Mbinguni''?

Kijana Akajibu'' Ndio Nataka Padri''

Padri Akajmuambia Nenda kasimame pale karibu na ukuta''

Padri akamuuliza Kijana wa Pili''

Padri : Unataka kwenda Mbinguni''?

Kijana akajibu Ndio Padri mie Vile vile Nataka Kwenda Mbinguni''

Padri akamuambia Simama Pale karibu na Ukuta''

Padri akamfuata Jamaa wa Tatu na Kumuuliza

Unataka kwenda Mbinguni''?

Kijana Akamjibu Hapana'' Padri''

Padri akasema Siamini usemayo.Yaani unataka kuniambia hutaki kwenda Mbinguni Siku Ukifa?''

Jamaa akajibu aah Kumbe Nikifa ! Ndio Nataka ila nilidhania unakusanya Kundi la Watu Kwenda Mbinguni Sasa hivi''

[/FONT]
 
Back
Top Bottom