Mkichokoza mjiandae

Mkichokoza mjiandae

dansmith

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
2,305
Reaction score
2,096
Kuna Rais wa kanchi kamoja amechokoza jamaa wa media amepigwa za uso leo huku JF mpka siku yangu imekuwa nzuri .kweli jamaa jamii haimkubali kabisa sifa mbaya sana
 
Kuna Rais wa kanchi kamoja amechokoza jamaa wa media amepigwa za uso leo huku JF mpka siku yangu imekuwa nzuri .kweli jamaa jamii haimkubali kabisa sifa mbaya sana


Nini tena hii hebu fafanua, kunywa maji relax tupe habari kamili.
 
Kichwani wewe ni empti kabisa. Yaani hata hewa hamna kama unaona huyo jamaa wa media katupa kombora. Ni basha!
 
Kwakuunga kamba za viatu namna ile si hajabu hata saburi akishikwa anachekelea
 
Huyu jamaa ajiulize Nico Damas Banduka yuko wapi,alichokoza hawa watu akiwa mkuu wa mkoa hadi Leo hatujui aliko.Hekima ni muhimu sana kwenye uongozi
 
Back
Top Bottom