Mkichat kila wakati "Niambie"

Kweli linakera, ila kama ww mtaalam wa kuanzisha convo mbona halikeri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Freyzem "niambie"
Nlijua lazima reply hii itakwepo tu...
Colietha bhana..[emoji23][emoji23][emoji2][emoji38][emoji38]
 
Mbona mimi natuma sms kwa rafiki zangu kila siku lazima niandike "Nambie ". Wala hawajawahi kulalama.



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mimi huwa nawajibu "nikwambie nini" akinijibu chochote namjaza na voda pesa then niskilizie uwongo wake.
 
Marafiki zangu wengi wa kiume ndo huwa wananambia hivyo sjui kwann.
 
Yaaani silipendi ILO neno na pia silitumiagi kabisaa..... Yaani kuna Demu mmoja mmeru... Hata akikutext yeye text YA pili utasikia ""niambie""" Sasa najiuliza huyu amekaa tu me nimwambie Kwan cna mambo mengine YA kufanyaa.... Na akinitumia atashangaa Nimekaa kimya na cku imepita.... Ila mbadilike.. Kwa kweli
 
Hata mimi huwa nakerwa sana. Anakutumia text eti "Nambie" akimaliza hilo anatext tena "Sema" nikiona hivyo tu nakaa kimya
 
Mimi neno hilo sina tatizo nalo ila sipendi mwanamke anayeongea maneno ya kiume yale ya kiuni...inakuwaje wewe...shwari michongo ikoje...nipe gwala


Hutoona msg yangu au simu tena
 
Ni kweli huo msemo yaani unakosesha kabisa hamu ya kuendelea kuchat...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…