Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
hahahahaha, ndio maana ake shosti, bila hivyo mauzoefu tuyatoe wapi? yutyubu au? lol
ya yutyubu hayanogi yale ya praktikali ndio mazuri........
hahahahaha, ndio maana ake shosti, bila hivyo mauzoefu tuyatoe wapi? yutyubu au? lol
hahaha, hiyo kwake, je wewe hujachezewa shem? mwanaume unaemchezea leo ni mwanaume wa mwenzio wa kesho ati.
Ukitaka aliye tulia,tulia wewe kwanza.
And what is the reality?
Am still young,give me a clue.
hahaha, hiyo kwake, je wewe hujachezewa shem? mwanaume unaemchezea leo ni mwanaume wa mwenzio wa kesho ati.
mwanamke unayemchezea leo, ndio mke wa mwenzako kesho!!!!
Je?? Unamjua mke wako wa kesho anafanywa nini leo??
Sasa mimi si nilikuwa nachukua twisheni...we unadhani nani angemfundisha dadayo kama sio mimi heheh!!!
Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia virginity ni lack of oportunity?unatushauri nini,ili kuacha kuchezea wake za watu?hakuna kitu kama hicho watu wanachezeana,,,,,,,,,kavua mwenyewe pichu au boxer then kamsaidia kijana kufungua vishikizo vya shati na mengineyo,,,,kama haitoshi kaweka mguu pande halafu mwisho wa siku aseme kachezewa badala ya "kuchezeana",,,,,,,tabia ya mtu ni kama ngozi mbona kuna watu wanaolewa wakiwa sealed it means wenyewe wanaishi sayari ya jupita?
Maisha ya mbele ni fumbo hivyo basi ukipata tumia na ukikosa jutia.
naye mke wake anafanywa hvyo hvyo kama anavyomfanya mke wa mwenzake......
ushafaulu tuition?
f.u.u.c.k this theory...i used to think like u way back wen i was 18...grow up ndo ujue reality ya maisha!!!!!!!
Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia virginity ni lack of oportunity?