Mkeo wa Kesho

Mkeo wa Kesho

naye mke wake anafanywa hvyo hvyo kama anavyomfanya mke wa mwenzake......

Haya mambo yana u-fair flani hivi.
Ukiwa player usitegemee kuoa bikra.
Mkeo anachezewa vibaya tu huko aliko
 
Hahahahah Mkuu wangu Speaker!

Kwani kuna kitu unaweza kufanya kuzuia?

Pia yale mambo hayana makombo, kubwa uzima wa afya tu!

Hahaha,kweli hayana makombo.
Ila kuna flavor tofauti ambayo unaikosa aisee.
Ukitaka aliye tulia,tulia wewe kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Yaliyopi ta si..............?kama kuna watu wanachezea wanawake mmuaache mara moja...mbona ata w..e..m..a anaweza akawa mke mzuri tu achana mambo za historia...

Ni kweli,anaweza kua mke mwema tu.
Lakini usitegemee atakae muoa ni mtu aliye tulia. Lazima nae ni player tu.

Unaweza hitimisha kua ni either hataolewa,au ataolewa na kirukaji kama yeye.
 
f.u.u.c.k this theory...i used to think like u way back wen i was 18...grow up ndo ujue reality ya maisha!!!!!!!

And what is the reality?
Am still young,give me a clue.
 
najua anapewa maujuzi na maeksipiriensi

hahaha,hutaki kua mwalimu we mwenyewe?

Niko tofauti sana,sitaki experience yako hiyo.
Nataka tuitafute wote. Tuanze tukiwa washamba wote,sio lazima awe bikra,atleast awe
"Haja tumikishwa" sana.
 
Mwanamke unayemchezea leo, ndio mke wa mwenzako kesho!!!!
Je?? Unamjua mke wako wa kesho anafanywa nini leo??

basi tu tukubaliane na wahenga kuwa hii kitu haina makombo vinginevyo ... Basi basiiiiiiii basiiiiiii
 
heheh hawajambo wote hao...halafu shem unajua dadayo nilimbuku kabisa...hakuna aliyemchezea lol

hahaha, hiyo kwake, je wewe hujachezewa shem? mwanaume unaemchezea leo ni mwanaume wa mwenzio wa kesho ati.
 
unatushauri nini,ili kuacha kuchezea wake za watu?hakuna kitu kama hicho watu wanachezeana,,,,,,,,,kavua mwenyewe pichu au boxer then kamsaidia kijana kufungua vishikizo vya shati na mengineyo,,,,kama haitoshi kaweka mguu pande halafu mwisho wa siku aseme kachezewa badala ya "kuchezeana",,,,,,,tabia ya mtu ni kama ngozi mbona kuna watu wanaolewa wakiwa sealed it means wenyewe wanaishi sayari ya jupita?

Maisha ya mbele ni fumbo hivyo basi ukipata tumia na ukikosa jutia.

Usiruke ruke,tulia na mmoja,mheshimu uliye nae hata kama unajua mnapeana "kampani"
maana unavo mtendea huyo,ndivo anavo tendewa wako aliko.

Usiombe ukutane na mke/mme aliye na makovu ya mahusiano.
 
hahaha,hutaki kua mwalimu we mwenyewe?

Niko tofauti sana,sitaki experience yako hiyo.
Nataka tuitafute wote. Tuanze tukiwa washamba wote,sio lazima awe bikra,atleast awe
"Haja tumikishwa" sana.
aaaaaah, mie nataka mtu mwenye experience miaka isiyopungua mitano tena awe amedate atleast mabinti kumi. ujue ni shida sana kuwa na mtu hana uzoefu. lol
 
hahaha, hiyo kwake, je wewe hujachezewa shem? mwanaume unaemchezea leo ni mwanaume wa mwenzio wa kesho ati.

Sasa mimi si nilikuwa nachukua twisheni...we unadhani nani angemfundisha dadayo kama sio mimi heheh!!!
 
hii mambo ipo tu hata usipo osha utaoshewa tu na wengne! so reality ya maisha kila mtu anaplay bila kujua mke wa kesho ni yupi!
 
Sasa mimi si nilikuwa nachukua twisheni...we unadhani nani angemfundisha dadayo kama sio mimi heheh!!!

hahahaha, umeona sasa, hata kipofu lazma awe na wa kumwongoza kama si mtu hata mkongojo. umefuzu sasa eeeh? lol
 
Usiruke ruke,tulia na mmoja,mheshimu uliye nae hata kama unajua mnapeana "kampani"
maana unavo mtendea huyo,ndivo anavo tendewa wako aliko.

Usiombe ukutane na mke/mme aliye na makovu ya mahusiano.
kwani huyo mmoja una guarantee kwamba utadumu nae maisha yote
 
Back
Top Bottom