hii ni changamoto kubwa sana niliyokutana nayo,imenisikitisha sana mkenya anakuja bongo af anaanzisha instution ya kutoa elimu ya ujasiriamali hana mtaji wala nini anapewa kachumba kamoja af zile application fees anakuja kulipia hako kachumba af ada za wanafunzi anatumia kulipia mishahara watz wenye vidigrii na masters,,,,huu si ni ujinga kabisa inamaanisha watz wanasubiri kuajiriwa tu? hata kwa vitu ambavyo wanaweza kuajiajiri...............HII NI HATARI CHUKUA HATUA