hii ni changamoto kubwa sana niliyokutana nayo,imenisikitisha sana mkenya anakuja bongo af anaanzisha instution ya kutoa elimu ya ujasiriamali hana mtaji wala nini anapewa kachumba kamoja af zile application fees anakuja kulipia hako kachumba af ada za wanafunzi anatumia kulipia mishahara watz wenye vidigrii na masters,,,,huu si ni ujinga kabisa inamaanisha watz wanasubiri kuajiriwa tu? hata kwa vitu ambavyo wanaweza kuajiajiri...............HII NI HATARI CHUKUA HATUA
Safi sana Natalia, tatizo la wabongo wanaangalia vyeti kuliko kuangalia uwezo wa mtu. Leo wapo wabongo ambao wameishia darasa la saba lakini wamefanya makubwa sana na wameajiri watu wenye digree zao.Apple ( Steve Job college drop out ameajiri wasomi wangapi kibao ) Facebook founders ( college drop out ) Bill Gates ( college drop out ,Oprah ( college degree kamaliza baada yakuwa billionaire)so usiwe so insecure .kuwa na degree sio guarantee ya kuwa successful .Peter Jennings ( high school drop out na alikuwa evening anchor na editor ABC .wengi tuuu,
Bill Gate ameajiri maprofesa,wakati yeye ni college dropout,Steve Job pia,Bakheresa,Hood Morogoro,...yaaani ni wengi ile mbaya.wewe ni mbaguzi wa rangi umeona mkenya tu? How about wahindi ?mtoa mada acha UBAGUZI na Majungu piga kazi huu sio Muda wa majungu
Baasiiiii,punguza hasira yaheeee,jamaaa kapitiwa tu kimtazamo
Usiwe na mawazo ya kijinga fuatilia Elimu ya Bakhresa au Mengi na waliowaajiri utapata majibu sio unakurupuka na mada za kiji..a