Inamaana TRA hata Interview bado? Mi nikajua usaili ushafanyika maana kama deadline ya kuomba ilikuwa tar. 04 November 2021 mpaka leo January 03, 2022 si miezi miwili hiyo?????. Mwenye update yoyote kuhusu zile nafasi za TRA atujuze jamani
Inamaana TRA hata Interview bado? Mi nikajua usaili ushafanyika maana kama deadline ya kuomba ilikuwa tar. 04 November 2021 mpaka leo January 03, 2022 si miezi miwili hiyo?????. Mwenye update yoyote kuhusu zile nafasi za TRA atujuze jamani
Kuna mwamba mmoja aliniambia idadi ya waombaji ni wengi sana, hivyo kupelekea mchakato wa kutoa majina kwenda hadi miezi miwili na kidogo japo mwezi huu wa january inasadikika yatatoka mkuu
Kuna mwamba mmoja aliniambia idadi ya waombaji ni wengi sana, hivyo kupelekea mchakato wa kutoa majina kwenda hadi miezi miwili na kidogo japo mwezi huu wa january inasadikika yatatoka mkuu
Kuna mwamba mmoja aliniambia idadi ya waombaji ni wengi sana, hivyo kupelekea mchakato wa kutoa majina kwenda hadi miezi miwili na kidogo japo mwezi huu wa january inasadikika yatatoka mkuu