Mkeka wa TRA lini?

Kumekucha asubuhi au kumekucha TRA mkuu. Mbona unatuchanganya? Be specific kidogo
Wameita tayari, pia mlioomba TPA pia wameita. Ila hapo kwa TRA nimeona ndugu zangu wengi wamekatwa sijui shida ilikuwa nini lkn pia wengi wameitwa kada moja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…