Mkeka bado unapumua ?

Mkeka bado unapumua ?

Mbona jamiicheck wanapinga kuwa huyo mtabiri hakuwahi kusema hayo maneno!
Meta aliniambia kwenye conversation moja kuwa Yamal kashinda golden ball 2026WC 😂.
Hii mifumo utendaji wale unategemea zaidi taarifa watumiaji wanazoziweka kwenye hiyo mifumo.
Mkeka wa huyu sheikh janja janja naukumbuka vyema,ni maneno alisema.
 
Meta aliniambia kwenye conversation moja kuwa Yamal kashinda golden ball 2026WC 😂.
Hii mifumo utendaji wale unategemea zaidi taarifa watumiaji wanazoziweka kwenye hiyo mifumo.
Mkeka wa huyu sheikh janja janja naukumbuka vyema,ni maneno alisema.
Aisee.😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Back
Top Bottom