Yahusu: Dotto Biteko

Yahusu: Dotto Biteko

Idimulwa

Platinum Member
Joined
May 27, 2011
Posts
5,447
Reaction score
3,356
-Yuko wapi huyu Naibu Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Bukombe-CCM?

-Ni nani alirithi mikoba yake, maana natambua kwamba mkeka wa 2025 ulichanika?

-Namuona Waziri Mkuu wa sasa anahaha Nchi nzima peke yake tu pasipo msaidizi... Kulikoni huko?
 
Dotto ni mbunge tu ....

Hana uwaziri wowote ule ....

Nadhani kilichomuondoa kule juu ni ule umoja wao sijui sukuma gang... the likes of akina Mpina n.k
 
Cheo cha Naibu waziri mkuu hakipo kikatiba.
Biteko aliteuliwa ili kumpunguza kasi Majaliwa na kujaribu kupata kura za wasukuma
Inakuwaje sasa Mteuzi anateua nafasi isiyokuwepo kikatiba na na Mteule ana pokeaje majukumu yasiyokuwepo kikatiba na analipwa kutokana na bajeti ipi au anafanya kazi kwa kujitolea Kizalendo tu?
 
Kuwa kiongozi, jamii inakudharau bora usiwe kiongozi. Waziri mkuu na raisi awamu hii wanachukuliwa kama mazuzu tuu. Bora kukaa pembeni.
Kutoshiriki katika timu ya uovu kama hii iliyopo sasa ni bahati kubwa sana kwa kiongozi yeyote anayeheshimu utu wake.

Sasa kama kwa bahati tu hakuteuliwa kuwa miongoni mwao, ajihesabu kuwa amebahatika sana.
 
Polepole aliwaharibia wengi sana Kuna watu walikuwa na Kismat hawakosi kwenye kila baraza la mawaziri lakini leo hii wako kando
 
-Yuko wapi huyu Naibu Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Bukombe-CCM?
-Ni nani alirithi mikoba yake,maana natambua kwamba mkeka wa 2025 ulichanika?
-Namuona Waziri Mkuu wa sasa ana haha Nchi nzima peke yake tu pasipo msaidizi...Kulikoni huko?
Biteko namkubali sana,ni fitna tu
Hawa vijana badala waonywe waende vizuri wanatemwa ,
Badala yake inaletwa mizee yote toka huko kwao kukaimu.
Nchi yetu wenyewe imepigwa dole la tako
 
Kutoshiriki katika timu ya uovu kama hii iliyopo sasa ni bahati kubwa sana kwa kiongozi yeyote anayeheshimu utu wake.

Sasa kama kwa bahati tu hakuteuliwa kuwa miongoni mwao, ajihesabu kuwa amebahatika sana.

Ndio, ninachozungumzia hapo juu. Political situation is very tense, fikiria leo PM wa nchi kama yetu hii, anakuwa mrusha vijembe na muimba taarabu!
Hatujazowea sisi namna hii; kama press inaenda kwenye mkutano wa PM, ili kutoka na vijembe kugonga vichwa vya habari, ni aibu.
 
-Yuko wapi huyu Naibu Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Bukombe-CCM?
-Ni nani alirithi mikoba yake,maana natambua kwamba mkeka wa 2025 ulichanika?
-Namuona Waziri Mkuu wa sasa ana haha Nchi nzima peke yake tu pasipo msaidizi...Kulikoni huko?
ana haha Nchi nzima peke yake .... kama kuku aliyekatwa miguu!
 
Biteko namkubali sana,ni fitna tu
Hawa vijana badala waonywe waende vizuri wanatemwa ,
Badala yake inaletwa mizee yote toka huko kwao kukaimu.
Nchi yetu wenyewe imepigwa dole la tako
Mizee nayo inajiita ni - BabuKijana- kama wewe..ngoma ni droo sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom