Mke ya Muzungu....

Mke ya Muzungu....

huyo c mmewe, hyo ni Ally Remtulla, mbunifu wa mavazi

Muzungu mwenyewe huyu hapa:

ma4.jpg


ma1.jpg
 
Jamani acheni roho mbaya huyo dada wa watu amewakosea nini?
kwa taarifa yenu ni kweli ni muke ya mzungu kweli na mume wake si mzee damu
mbichi kabisa,na maisha yao Bomba nbaya huko Dubai,what a womani need
from a man?just a peace and a wonderful life,ukweli hata kama utawachomeni
ni kwamba wanaume wengi wengi weusi wana mapenzi ya Urongo!Bisha!
 
Trying to look like mzungu but anayaweza....its her life style!! mi mke ya mzanzibari ngoja nikavae baibui nije kuwaonesha picha yangu na mie!!!:rockon:
 
Mama ake alipokufa kule Tandale alimkana.Mzungu mwenyewe amesha achana nae.yupo Dar anauza nyago tu nowdays.ana jipya na Mzungu ameshaoa tena demu mwingine.
 
Na kweli bora kaolewa na muzungu. Huyo mwanaume wa kiswahili wa kuchungulia picha na wanawake kama hivi sijui angempata wapi.
Hii ni chama ya wake za wazungu? Manake naona mdogo wangu Jacky keshaanza kutokea humu nae maskini!
Muzungu mwenyewe huyu hapa:
ma1.jpg
 
Jamani acheni roho mbaya huyo dada wa watu amewakosea nini?
kwa taarifa yenu ni kweli ni muke ya mzungu kweli na mume wake si mzee damu
mbichi kabisa,na maisha yao Bomba nbaya huko Dubai,what a womani need
from a man?just a peace and a wonderful life,ukweli hata kama utawachomeni
ni kwamba wanaume wengi wengi weusi wana mapenzi ya Urongo!Bisha!

Weupe mnaraha.
Unaukana uswahili na kuutukuza uingereza?
Shame
 
From my understanding, hawajaachana mbona wapo tugeza na mudhungu wake. Kwasasa hawaishi tena Dubai, mzungu karudi kwao na mange can't join them due to visa issue.
 
From my understanding, hawajaachana mbona wapo tugeza na mudhungu wake. Kwasasa hawaishi tena Dubai, mzungu karudi kwao na mange can't join them due to visa issue.
Ukioa au kuolewa nchi nyingi ikiwemo Tanzania anapata uraia wa mme/mke wako.basi apo akuna Ndoa,wameokotana na kuanza kaa wotenthen wakazaa.vinginevyo yangu macho.
 
IMG_7061.jpg


Mwacheni mdada wa watu ajidai, maisha yenyewe mafupi haya.
 
Kwa ufupi huyu Manga mwacheni. Wala hajaachana na mume wake, ni suala la visa ndo linaleta tabu sijui walitimbua nini huko Marekani alioenda kusoma. But naamini one day atapata visa ili watu waache midomo yao. Ch amsingi she is very close to her hubby and their son KENZO. Kwa sasa Mange yuko Bangkok kwa alone vacation (no hubby no toto) and it has been covered by her hubby. Ukweli Mange is free with her life, the fullest!!! na anaweka wazi, wapo haters wapo supporters. I like her life in one side and hate the other (matusi) but hope ameshakua na ameacha. She is a community person now, and she has done a lot in this. Can we cheer up even this little good rather than focussing on her bad side!!!
 
Na angekuwa mzuri huyu dada mbona tungekoma hapa mjini, kweli Mungu anajua nani wa kumpa nn...
kuolewa na mzungu imekuwa nongwa.......
 
Jamani acheni roho mbaya huyo dada wa watu amewakosea nini?
kwa taarifa yenu ni kweli ni muke ya mzungu kweli na mume wake si mzee damu
mbichi kabisa,na maisha yao Bomba nbaya huko Dubai,what a womani need
from a man?just a peace and a wonderful life,ukweli hata kama utawachomeni
ni kwamba wanaume wengi wengi weusi wana mapenzi ya Urongo!Bisha!

+255758 194 055 ntafute then mayb naweza kukuprov wrong,not all,me ni mbongo n i wl show u true l.o.v.e
 
IMG_7061.jpg


Mwacheni mdada wa watu ajidai, maisha yenyewe mafupi haya.

Kuna picha hapo juu ya mwanamke amevaa bluu na mwanamume wa kizungu amepiga magoti. Je huyu hapa kwenye picha ndiyo yule mwenye blue? Nauliza hivi maana hapa anaonekana amechongeka kutoka juu kwenda chini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom