Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

kama ni uwazi na yeye angekupa uwezo wa kuingilia mawasiliano yake inaonekana ana mambo sio mazuri ndio maana hakuamini
inawezekana hajahak ila amewatumia wafanyakazi wa mitandao ya simu
 
Huyo mkeo kiboko
 
Dunia ina mambo sana kwahiyo kilichokuuma sana nikuingilia mawasiano tu ama kuna jambo jingine hadi ufikirie kumfungulia mashitaka mama watoto heeee!!!!!umekiri mwenyewe kumbe ulishawahi kuwa na mchepuko so pengine anahisi akiwa mbali uko mchepuko unaendelea nao ndo maana akahack.
 
Mbona hizo sms sio za siri, angalia sehemu zako za siri ndo utajua kuwa mawasiliano hayo sio ya siri
 
We unawapa tu ela unaoona inafaa kuwapa, ndoa ni kitu kingine mbona. Ndoa sio biashara eti itakufa ukisaidia ndugu na jamaa zako...!!!!!

Uyo ni mkeo sawa...!! Linapokuja suala la yeye kupekecha na kutaka kukujua undani wengi husema ni halali yao kwa ville ni wake...!!!
Hii sio sawa....
Anapokuwa anafukuafukua simu ni lazma atakuwa anatafuta mabaya yako tu na sio mazuri and this is never right nijuavyo mimi.....!!

Simu ni kama roho tu ya mwenzio
Ivi ukikuta mambo ambayo huyaekewi uko na wanavojua kuliwasha in case they find wat they want, ndoa si inakuwa shakani...!!?

Best way ni kupiga stop tabia izi za kupekuana cm.

Kuhack iz possible tangu muda mrefu , mi najua iyo kitu.

Lipo duka fulani lilikuwa linauuza iyo kifaa kwa shilingi 50 ela ivi. One takes ure line and imbeds into this kind of moderm alafu kuna kijimuamala pale kinaungAnisha sm yako na yake.. Bas .. You ar done
 
 
Yaan ana makosa anajijua halafu anataka msaada. Hizo siri; sir gan ambazo mkeo hatakiw kuzijua? Ngoja ndoa yake izamee
 
Inasikitisha kuona kuwa huu uzi umegeuka na kuwa tatizo la kijinsia badala ya watu kujadili wakiwa huru na kutolea maoni yatakayonisaidia kufanya maamuzi sahihi, kina dada wote wananiponda while wanaume wenzangu wanaonekana kuunga mkono kuwa mke wangu amefanya makosa, tutafika kweli kwa mtindo huu? Sitaki kuwa biased kama hao kina dada ila ukweli ni kuwa wamejikuta wanajadili historia ya ndoa yetu ambayo pia hawaijui na kuweka pembeni topic iliyo hapo juu inayozungumzia Mke wa ndoa kuingilia mawasiliano yangu bila idhini yangu ambalo ni kosa kisheria!
 
Halafu ukishamshitaki ataendelea kua mke wako bado au?
Ninyi wote bado mnasumbuliwa na ubinafsi, imewapasa wana ndoa kuishi pamoja haya mambo ya wote mko Tanzania hii hii halafu mwingine yuko mkoa mwingine kwa makazi ya kudumu hua siyaelewi sana na nafikiri matatizo mengi huanzia hapo.
 
Yaan ana makosa anajijua halafu anataka msaada. Hizo siri; sir gan ambazo mkeo hatakiw kuzijua? Ngoja ndoa yake izamee
Hivi ndoa ikizama huwa inakulaga pande ipi vile? Ndio maana mnakuwa very defensive!
 
Mhalifu ataendeleaje kuwa mke wangu?
 
Hivi ndoa ikizama huwa inakulaga pande ipi vile? Ndio maana mnakuwa very defensive!
Hata kwako itakula tuu baba. Hiyo sheria ya mtandao weka kando kwanza bt huyo mmama anafight na haki yake ya kuwa mke kwako lazima ajue usalama wake. Siku hiz magonjwa meengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…