Mke wangu nisikilize kwa makini

Mke wangu nisikilize kwa makini

Do you really love Nyani Ngabu?

Really? I mean, like seriously?

Hhahahahahahaaaaaaa haiwezekani.....................

Kwani nilisema nakupenda hapo juu? ni mimi au ntakuwa nilikuwa naota bana...........

Mie Kasie ntaanzaje kukupenda wewe babu mweye wachumba kibao akuuuuu

Mie staki bana hata sikupendi na kama nilisema hivo basi nilikosea nilifikiri nimeandika sikupendiiiiiiiii

Ukitaka nikupende ninanihii halafu unanihii halafu nami ntananihiii 😀😀😀😛

Silly me.....

Seriously I LO YO. .............(Said I love you but I lie.................)
 
Hhahahahahahaaaaaaa haiwezekani.....................

Kwani nilisema nakupenda hapo juu? ni mimi au ntakuwa nilikuwa naota bana...........

Mie Kasie ntaanzaje kukupenda wewe babu mweye wachumba kibao akuuuuu

Mie staki bana hata sikupendi na kama nilisema hivo basi nilikosea nilifikiri nimeandika sikupendiiiiiiiii

Ukitaka nikupende ninanihii halafu unanihii halafu nami ntananihiii 😀😀😀😛

Silly me.....

Seriously I LO YO. .............(Said I love you but I lie.................)

Wachumba gani hao nilionao? Wa kufikirika?
 
Wachumba gani hao nilionao? Wa kufikirika?

Ninaowajua hadi sasa ni wanne,

Kasinde
Kasie
Kunde
SKPL

Hao sio wa kufikirika ni wa kweli kabisa na ushahidi ninao, na wengine wako nyuma ya pazia......

Ngabu aka muzee ya mababes 😛😛
 
Ujumbe maridhawa, uwe unamtumia asiusahau, maana wanasahau haraka
 
Niko poa, ila uachage vituko mwanangu, au ndo ile like mother like son?

Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaa...........mama bwana, sio vituko.......hizo ni kukuru kakara za hapa na pale ambazo tunakutana nazo kwny maisha
 
hivi wanawake hawana ndoto iwe kubwa au ndogo za kimaisha?

kama wana ndoto zao basi wanadhulumika sana hasa wanaoolewa sababu wengi wao inawabidi waishi wakifuata ndoto za waume zao. mbaya zaidi akiolewa na mwanaume asiyejali ndoto za mke wake na kuweka mbele vipaumbele vyake yeye kwanza.

ndoa yenye furaha ni matokeo ya upendo na utii, tunafundishwa katika biblia kuwa "enyi wanaume wapendeni wake zenu, na enyi wanawake watiini waume zenu"

sasa wewe ushabainisha mambo yako, vipi yeye hasa kuhusu ndugu zake anawasaidiaje?
 
Nilisha kutana na kaka mmoja hivi kitamboo huko nyuma malavi davi yalikuwa 120/140 ilikuwa mbinguni duniani maana tulipeana raha zote za dunia hii. Mkaka alipagawa na paja la kinyamwezi sio tuu alinipa password ya atm pia alinimilikisha ardhi na moto kaa zake kadhaa..... bahati mbaya ilikuwa ni enzi ya kuoa mtu wa kabila la kwao hapo ndo tulipoachana maana sikuweza kuhimili kuwa nyumba ndogo wakati bado ni mschana.

Hata hivyo mada nzuri inavutia.
Ama kweli kila zama na mambo yake.
 
Back
Top Bottom