babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,314
Pole sana mkuu,,,kwahiyo mnagawana mali ama
Ni wanaume wangapi wanasaliti ndoa zao na bado wanawake wanavimilia huku akiwa na maumivu moyoni, wengine mnadiriki kuleta mchepuko ndani kwa kumdharau mkeo lakini wsnawake wanawavumilia. ninyi mbona mnashindwa kuvumilia tatizo lipo wapi? mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchunguSamahani mkuu....
Hivi unaanzaje kumkanya mtu ambae tayari umethibitisha kwamba anakusaliti...![]()
![]()
Au ndio unamwambia kwamba... love, kwakua nimesha gundua kwamba hua una tafunwa, basi nimekusamehe lakini usiendelee na tabia hiyo ya kutafunwa..![]()
![]()
Mkuu hapa umemaliza ........ulichokiandika hapa n ....big point .. .. Nafkir huyu jamaa angekuwa ana uelewa huu asingelalamika leo...Nadhani kosa kubwa tunalojidanganya wanaume ni kwamba, katika mahusiano, mwanamke ni wako. Wakati ana maamuzi yake, ana matamanio yake na ana namna yake anavyokuchukulia. You cant win a woman's heart forever. Akibaki na wewe, ni kwamba ameamua tu. Na akikusaliti, pia ameamua. Dont invest on women, either with money, or with your life. I mean, if it happens enjoy, and always be aware that anything can go wrong. Ukweli mchungu kumeza.
Usifanye hivyo njoo kwangu ni muaminifu hautajuta kunifahamu fanya maamuzi sahihi sasa, karibu.Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.
Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.
Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.
Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.
Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Mmmh !! mwezi ulee ~~~ bwana yulee ~~~ aisee unachangamkia fursa.. Bravo!!Usifanye hivyo njoo kwangu ni muaminifu hautajuta kunifahamu fanya maamuzi sahihi sasa, karibu.
Ni wanaume tu pekee watakuelewa hapa, wavulana hawatoelewa chchtNadhani kosa kubwa tunalojidanganya wanaume ni kwamba, katika mahusiano, mwanamke ni wako. Wakati ana maamuzi yake, ana matamanio yake na ana namna yake anavyokuchukulia. You cant win a woman's heart forever. Akibaki na wewe, ni kwamba ameamua tu. Na akikusaliti, pia ameamua. Dont invest on women, either with money, or with your life. I mean, if it happens enjoy, and always be aware that anything can go wrong. Ukweli mchungu kumeza.
(red font), Unataka kusema hukuwa na mapenzi na mamaako pamoja na kukuzaa, ila sasa ndiyo wataka kuhamishia mapenzi (au umeandika kwa hasira) kwake baada ya kuachana na mkeo! Halafu kumbuka kuwa mapenzi ya mama na mapenzi ya mkeo ni mapenzi mawili tofauti, vile ulivyokuwa ukimpenda mkeo ni tofauti na utakavyompenda mamaako. Kuna mambo ulikuwa ukipata kwa mkeo lakini kwa mamaako huwezi pata!Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.
Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.
Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.
Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.
Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Wewe kiazi kweli mama yako unataka uwe unakutana naye faragha?Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.
Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.
Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.
Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.
Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Nakuunga mkono kwa aya yako ya mwisho,ila nahisi kuleta hapa sio kwamba lege lege. Ila anataka Uzi wake uwe na comment nyingi tu ili nae aonekane kama anachangia humu,ila Wanaume lazima tuwe madictecta kwa wake zetu,lazima tenki mbele mwanamke aendeshwi kwa democrasia,na wengi wanakaribiwa na mazingira magumu kwenye ndoa kwa sababu ya kupenda ushauli sana toka kwa wake zao.si kila analotaka mwanke ulifanye hata kama nila msingi lifanye kwa muda mwingine ,nakumpingapinga kidogo huku ukimuonyesha msimamo,mtadumu,wanawake wapo wengi sanaNdiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!
Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!
Lengo ni kuleta uzoefu miss kwani hujawahi jimfunza vitu humu???ila huku jamii forums mtu akifanya tukio na mke wake lazima alete report eti inatuhusu kwani?