Mke wangu nimemtimua leo

Mke wangu nimemtimua leo

Wanaume wa Dar mnalilia? mbona ninyi. Ni wasaliti wakubwa na tunawavumilia? acheni utoto. Umekaa ukamuonya?
Nani kakuambia mwanaume anasaliti nyie ndo mnao saliti mana hamuwezi beba mimba za wanaume 2 ukiolewa utimiziwe majukumu tu inatosha sio kumchunguza mwanaume
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.

TOKEA LINI BINADAM AKAZAA NDANI YA MIEZI 7? AMEKUWA KUKU?

Na huyo mama yako atakupa K uoshe kirungu au atakufariji vipi?

Una umri gani?
Nafikiri bado hauja acha kunyonya ziwa la mama.
Mtu akiosha kirungu kwa mkeo, na wewe unaenda kuosha kirungu kwa mke wake, ndio udume.


Bora ulivo muacha, si mwanamke kamili wewe, na ndio maana demu wako anachukuliwa na mwengine.
Ilibidi ujue sababu kwanini kakusaliti, maybe wewe mwenyewe ndio chanzo.
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.
Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.

Pole sana mkuu kwa yaliyokusibu japo napata pia mashaka pale unaposema wacha uamishie mapenzi yako kwa mama yako na kwamba tukuache utulie (maana ushaamua) ukichoka utakuwa unaenda kwa mama yako akufariji... Ok, Ok, sina maana hiyoo. Japo mama ni mama lakini hawezi ku cover penzi lililopotea you know what I'm saying. Usihofu sana mbona wanawake wapo wengi tu utapata mwingine. Lakini usisite kutupa mrejesho mkipatanishwa na kurudiana tena au ukioa anayekufaa zaidi. Hivo tu yaani.
 
Ushirikina huu sasa
Wewe Mama yako ndio akufariji sawa na Mke?
Laana inakuita,hata kama unatafuta kiki JF,jua unalaana Tayari
Mungu hajaribiwi wala hafanyiwi inda

We unafikiria kuoa ni kukurupuka tu,eeee,watu tuna 12 yrs kwenye ndoa,raha raha tu,
Na kama kumfundisha kupanda ndege na kutumia vitu vya ndani huo ni ushamba wako,na inaonyesha kwamba uelewa wako ni modgo saaana.
Kila mtu alifundishwa vitu hivyo hakuna aliezaliwa anavijua.
Ungeniambia kwamba Umemfundisha Dini na mafunzo ya Dini kama Mke,hapo ningesema kweli wewe ndio Mwanaume Bora na Mungu angekupa Baraka telee.

Kweli kabisa umenena ya maana. Mume mwenye kadosari, kama kupanda ndege ndio cha maana sana vile!!!! au kumfundisha jinsi ya kutumia vitu vyake ni cha maana vile? Anaonesha anapenda ukubwa ukubwa na sifa sifa
 
Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!

Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!

Huyo ni Kademu ka mama. Mwanaume gani anaetaka afarijiwe na mama yake? Mwili mwanaume lakini kichwani mwanamke. Hata muandiko wako inaonesha kama mwanamke hivi, ndio maana kasalitiwa. Dume la mbegu ndio anakula,
 
Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!

Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!
Pole sana
 
we sema tu umemuacha kwasababu hajapata mtoto ndani ya miaka 7 toka muoane
 
Pole sana maana naona hautaki ushauri, Sasa naomba baadae uje utupe mrejesho baada ya kumwacha kawaje au anaendeleaje!
 
Ivi hiki kizazi tunaelekea wapi... Kusalitiana Imekuwa daily... Daaaaah
 
Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!

Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.

Pole mkuu ila hizo kauli "sitaki tena mwanamke/mwanaume" huwa mnazitoa kwa mihemko sana. Ni hukumu isiyo haki na unajikomoa mwenyewe maana wanawake hawafanani.
Tulia, mwombe Mungu akutie nguvu na kukuongoza. Ip siku utakutana na mwanamke sahihi, hizo kauli utazimeza.

Vv
 
usipokua na staha ya kuficha ya ndani ya nyumba hufai kuitwa mume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom