Na ndio maana hawakudumu hekaluni wakatimuliwa na mwenyewe. Msaliti kumtimuwa tuu.Usaliti upo tangia enzi za Adam na Hawa...mrudie mkeo
Dah..Kwanini na wewe usimchapie bana? Huu ni udhaifu..🙂Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.
Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu
Siyo Pointi, kama hulidhiki na mwenza wako ni bora kuvunja ndoa kuliko kuzini nje ya ndoa.. Kosa hili ghalama yake ni kubwa sana.Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!
Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe mwanumeme imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!
Ungekuwa haun shida naye usingeanzisha uzi.Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.
Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.
Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.
Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.
Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Kwa nini isituhusu? Inatuhusu sana tu, sisi si ndo mashemeji!!ila huku jamii forums mtu akifanya tukio na mke wake lazima alete report eti inatuhusu kwani?
Naamini umefikilia tofauti, neno mapenzi lina maana pana, I mean ataelekeza upendo na moyo wake wote kwa mama mzazi na hakika mama mzazi ni mungu baada ya mungu muumbaUna balaa kubwa wewe,unahamishia mapenzi yako kwa mama yako? Dunia bye bye