Mke wangu nimemtimua leo

Mke wangu nimemtimua leo

Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!

Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!
Wew jamaa kumbe hua hunaga point namna hii
Unasema kaja hapa kulia lia kwan kakuomba ushauri nn cha kufanya
Mwanaume kakuletea maamuz aliyokwisha yafanya tayari Wapi alipo lia lia
 
Ushirikina huu sasa
Wewe Mama yako ndio akufariji sawa na Mke?
Laana inakuita,hata kama unatafuta kiki JF,jua unalaana Tayari
Mungu hajaribiwi wala hafanyiwi inda

We unafikiria kuoa ni kukurupuka tu,eeee,watu tuna 12 yrs kwenye ndoa,raha raha tu,
Na kama kumfundisha kupanda ndege na kutumia vitu vya ndani huo ni ushamba wako,na inaonyesha kwamba uelewa wako ni modgo saaana.
Kila mtu alifundishwa vitu hivyo hakuna aliezaliwa anavijua.
Ungeniambia kwamba Umemfundisha Dini na mafunzo ya Dini kama Mke,hapo ningesema kweli wewe ndio Mwanaume Bora na Mungu angekupa Baraka telee.
Sasa kama kagongewa amvumilie wa nini
 
Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!

Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!
Ona kakazika sasa kamfukuza
 
Wew jamaa kumbe hua hunaga point namna hii
Unasema kaja hapa kulia lia kwan kakuomba ushauri nn cha kufanya
Mwanaume kakuletea maamuz aliyokwisha yafanya tayari Wapi alipo lia lia


Mambo ya kuleta mambo ya ndani ya nyumba public ni mambo ya kike, Wanawake ndiyo kutwa nzima huongelea mambo ya ndani, maofisini kutwa nzima hata hawafanyi kushinda kuhadithiana kuhusu waume zao, Wanaume hawako hivyo, na hiyo ndiyo sifa ya kiunaume ijulikanayo Dunia nzima, kwamba ni watu kutatua matatizo!
Sasa kama ulishachukuwa uamuzi haukupaswa kuja hapa kulialia ulipaswa kuendela na maisha yako, huo ndiyo Uanaume, na kama ukitaka Mwanamke akuheshimu basi onyesha Uanaume, vinginevyo utabadilisha Wanawake kila siku mpaka ukate tamaa na kuhamia kwa Wanaume sasa!
 
Mkuu Kama yupo hapa Dar naomba Tafadhari nipatie namba yake!!
 
Una akili sana kwa uamuzi uliouchukua. Nachukia sana mtu anaepiga mwanamke, kuua mwanamke kwa sababu ya wivu na anaejinyonga kwa sababu ya kusalitiwa. Bora umuache mwanamke kwa amani maana utapata mwingine kama sio milioni moja wengine na yeye hivyo hivyo.
Hayo ndiyo maamuzi ya kiume. Nakuunga mkono. Endelea mbele,usiangalie nyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom