jane kajoka
Member
- Sep 19, 2015
- 91
- 3
Mbombo ngafu
Naloliii mbombo ngafu mweeee
Mbombo ngafu
wewe utakuwa mwanafunzi wa kemia tu
hilo likimpata mtu linakuwa linamridhisha kabisa hadi anakuwa hana hamu tena na mwenza wake.
Ingekua anaigiza kulala basi una haki ya kulalamika.km kapima kakuta yuko preg then shukuru Mungu mwombee.the fact that analala ya ukweli then no nid kuworry.
Ua about to b a father of two man.....kip smiling
Mshauri tarehe 25 ampigie magufuli kura yake ili tatizo lake litatuliwe kitaalamu.
Hebu tafuta muda umvizie na umchungulie maumbile yake...
Unajua huu mwaka wa mabadiliko si ajabu nyeti zake zimebadilika na kuwa za kiume...
Kwan mimba inapimwa na x ray?
Na akiamshwa kura yake asipoteze ampe Jembe JPM.
Kuna mtu anamchosha
Acha mzaha bana, kwanini uchague garasa wakati mizungu ipo?this one
Karibia mwezi sasa bt mimba ya kwanza mbona haikuwa hivi...aisee
Ana spiritual husband huyo.believe me.solution ni kutolewa hilo dudu kwa mamlaka ya jina la Yesu
Nami nimeshangaa, mimba wanapima kwa x-ray? Huyu jamaa atakuwa bogus, yaani wife anamdanganya mchana kweupee halafu anakuja mbiyo jf. Tumsaidie mimba inapimwa kwa kutumoia ultrasound mkuu, peleka huyo akapimwe.Hiyo mimba gani inayopimwa kwa xray au anapima hadi mifupa ya mtoto
Hospital si kagoma eti hataki kupgwa x ray, mimba alijpma tena mm spo akaja npa taarifa tu ana mimba..bt kinachonikera mi ni kutokuonesha kunijali kama mumewe...sku moja nlihitaji tunda nkaambiwa nifanye haraka kwan hajisikii kufanya khaaaa.