Mke wangu muda wote ni kulala

Mke wangu muda wote ni kulala

Habari wadau,

Mimi nna mke wangu now tuna miaka nane na mtoto mmoja, tatizo mke wangu huu ni mwezi sasa yeye akitoka kazini ni kulala nikirudi au tukirudi wote yeye break ya kwanza mi nipo sebuleni ye kalala chumbani, akiamka ni kula na kuoga na kurudi lala,wkend ndo hivyo ni kulala tu mi nipo sebuleni ye kalala room no sex no what nkimuuliza anaumwa alikwenda hospitali wakasema haumwi.

Alinambia ana mimba but cha ajabu nilimwambia akapime nijue ni ya mda gani aligoma akidai hataki kupigwa x ray kwasasa labda mpaka baadaye sana,zaidi alijipima mwenyewe tu,shughuli zote anafanya dada wa kazi,tulikuwa tunaoga wote bt now anaoga mwenyewe kimyakimya kisha anakwenda kulala nikistuka kwenda mcheki nakuta alishalala zamani sana.

Kazini tulikuwa tunatoka wote bt now mi naoga ye anavaa fast anaondoka akirudi ni kulala tu yaani simuelewi wakuu sjui tatizo nini, kuna mtu alinambia ni jini mahaba. Ushauri wenu maana nahisi taanza kuchepuka, nimeshakaa naye sana kumweleza bila mafanikio na hata mda huu nilimwamsha nikaja naye sebuleni kumweleza but wakati naongea ye anasinzia tu wakati nimetoka kazini jioni nimekuta kalala,sasa aliposkia mtoto analia ye mbio kaenda ndo jumla kaenda kulala hakurudi tena.

Kula huyo house girl atajishughulishaa mwnyw
 
Mwambie asiendekeze kulala, kama ni hivyo huko kazni anafanyaje kazi? Au muone Dr lisije kuwa ni deko tu.
 
Mimba hiyoo..:A S 41::A S 41::A S 41::high5:..Anza kuchepuka awezi kukukamata si mda wote kalala😎😎
 
Hapo kuna tatizo ... mimba kupimwa kwa xray sijawai sikia... chunguza vizuri.
 
Habari wadau,

Mimi nna mke wangu now tuna miaka nane na mtoto mmoja, tatizo mke wangu huu ni mwezi sasa yeye akitoka kazini ni kulala nikirudi au tukirudi wote yeye break ya kwanza mi nipo sebuleni ye kalala chumbani, akiamka ni kula na kuoga na kurudi lala,wkend ndo hivyo ni kulala tu mi nipo sebuleni ye kalala room no sex no what nkimuuliza anaumwa alikwenda hospitali wakasema haumwi.

Alinambia ana mimba but cha ajabu nilimwambia akapime nijue ni ya mda gani aligoma akidai hataki kupigwa x ray kwasasa labda mpaka baadaye sana,zaidi alijipima mwenyewe tu,shughuli zote anafanya dada wa kazi,tulikuwa tunaoga wote bt now anaoga mwenyewe kimyakimya kisha anakwenda kulala nikistuka kwenda mcheki nakuta alishalala zamani sana.

Kazini tulikuwa tunatoka wote bt now mi naoga ye anavaa fast anaondoka akirudi ni kulala tu yaani simuelewi wakuu sjui tatizo nini, kuna mtu alinambia ni jini mahaba. Ushauri wenu maana nahisi taanza kuchepuka, nimeshakaa naye sana kumweleza bila mafanikio na hata mda huu nilimwamsha nikaja naye sebuleni kumweleza but wakati naongea ye anasinzia tu wakati nimetoka kazini jioni nimekuta kalala,sasa aliposkia mtoto analia ye mbio kaenda ndo jumla kaenda kulala hakurudi tena.

sasa kama mwanamke katangulia mwenyewe chumbani wewe sebuleni unasubili nn!
 
kwa lazima x ray itumike? huyo mwongo sio mimba wala nini shtuka mkuu anza kufanya uchunguzi.



hilo likimpata mtu linakuwa linamridhisha kabisa hadi anakuwa hana hamu tena na mwenza wake.

yesu alisema,ukikosana na mwenza wako hakikisha mnasameheana na kupatana kabla hakujakuchwa, alikua na maana, mkienda kulala kilammoja akiwa na hasira na kila mmoja kugeukia upandewake HUYO JINI WA MAHABA NDIO ANAPATA NAFASI YA KUINGIA KWA MMOJA KATIYENU, NA IKITOKEA HIVYO MAPENZI YA NDOA HAYATA SHAMIRI TENA KATI YENU .kwa7bu huyo ibiris ataendelea kuwagombanisha siku hadi siku. KAMA NDOA YENU INA AMANI NA HAINA MIGOGORO JINI MAHABA HAWEZI KUJA KATIYENU.
 
hope1985 nyi ni dini gani...?, tuanzie hapo labda.
 
Last edited by a moderator:
Kweli mimba ikiwachanga iyo hali inawezekana..na kila mimba inakuja na hali yake hivyo kama ni mimba uaimlaumu kabisa..pia tendo la ndoa huwa halitamaniki..maana mwili uko so uneasy..sasa ningumu kufurahia..ni sawa mtu ukiwa mgonjwa huwezi kuenjoy. Ila kama sio mimba basi jini mahaba au mchepuko unaweza kuwa sababu!
 
Bila shaka alijiandikisha, fanya kila unaloweza akapige kura tarehe 25, akimaliza kupiga kura nitakupa namna nzuri ya kutatua hilo tatizo
 
mtwange talaka namba one,akirudia unamtwanga red card.mwambie jumapili achukue na kuwekaaa,lowasaaaaaa
 
Back
Top Bottom