sam green
Senior Member
- Feb 21, 2020
- 176
- 256
Baada ya kuwa na mahusiano na mwanmke flan kwa miaka mi 4, baadae akaja kubadilika baada ya kupata kazi, inshot mm ndio nilikuwa na muweka mjini,
Nimtoa kjjn na kumeltaa, mjini nikamuandliaa mazingra ya kuish,, nakwa naanda mke, kila kitu juu yangu na tupo mjini, ila nilipangaa, kivyangu nikampangia kivyake, lakn huduma zote juu yangu nawza tu end kulala kwake hata week, nzimaa, bhas narud kwangu, ni mwaka ukaishaa tukiwa na maisha hayoo,
Akaja kupata kaz, akaanza kubadilika, akaona aanaweza kuish peke yake, vibur dharau, mambo kede kede yaakaanzaa, mpka tukaachanaa, mambo yote yanaendleaa wazaz waikuwa wanajua kuwa nipo na binti yaooo, ila namtaftiaa kaz piaa ni mpenz wangu, yaan mke mtalajiwaa, tukaachanaa, taarifa zkfikaa kwa wazaz, waka mind, miez miwili kupit, akaanza kuomba msamah, akawashilika wazaz yakaishaa, tukaka km miez miwili, akaanza tena seke seke,
Nilipata tabu, na shida nying sana kuachana naee mpka kumsahau sababu ni mwanamke ambaye nilimpenda sanaaaa,
Hatimaee nikafanikiwa kumsahau, japo Anaish karibu na mazingra yangu ya kaz, nikaacha kumuona kabsa anajtiaa yupo busy na kaz, maisha yakasongaa, miez ikaptaaa, nikawa nipo fresh nimezoeaa kuish mwenyewe,
Akaja kunitaftaa, mwez wa 11 mwaka huu, kuw nimsamehee tusichukianee tuwe marafiki tu, mimi ndio niliyemtoa kjjn hawez sahau mambo mema nilomtendeaa, sifa kibaoo kazimwagaaaaa, nilisitaaa, kuwa na urafik naee sababu najua mwisho wake tutarudi tulikotokaaa ,
Lakin baadae nilikubali tukawa watu waku salmiaana, anakuja ofsn kwangu anapata huduma na hela naalipiaa kama wateja wengnee, mara ana nishirikshaa mambo yakee, lakin skuwa karibu kivile mda mwengne anawz nitaftaa, nisimjibuuu....
Sasa akaanza kuniulzaa, kuna stor zilivuma na mahusiano na wanawake kadhaa mtaani akawa ananiulzaa, kuhusu hao watu, nikamwambia mm sjui, lolotee, akawa na jaziba na hasiraaa, nikaona isiwe kesi, nikakataaa mawasiliano, kila mtu aendee na yakee!
Kila mtu kaasema bye byee .
Siku mbili sahz, mm natumia gb Whatsapp nikatuta ametuma sms Whatsapp alafu akafutaa,
Et "ya kujielezaa, ooh! Maisha kwangu yamekuwa magumu sana maelezoo kibaoo," na sijamtafaa mpak sahz nahis waliokuwa wanampa kivur ameyakanyagaaa!
Ila kiufup tuu huyu mtu hata iweje siwez kaa nikardiana anaeee nishaaa muaa kwenda mbeleeeeee
Nimtoa kjjn na kumeltaa, mjini nikamuandliaa mazingra ya kuish,, nakwa naanda mke, kila kitu juu yangu na tupo mjini, ila nilipangaa, kivyangu nikampangia kivyake, lakn huduma zote juu yangu nawza tu end kulala kwake hata week, nzimaa, bhas narud kwangu, ni mwaka ukaishaa tukiwa na maisha hayoo,
Akaja kupata kaz, akaanza kubadilika, akaona aanaweza kuish peke yake, vibur dharau, mambo kede kede yaakaanzaa, mpka tukaachanaa, mambo yote yanaendleaa wazaz waikuwa wanajua kuwa nipo na binti yaooo, ila namtaftiaa kaz piaa ni mpenz wangu, yaan mke mtalajiwaa, tukaachanaa, taarifa zkfikaa kwa wazaz, waka mind, miez miwili kupit, akaanza kuomba msamah, akawashilika wazaz yakaishaa, tukaka km miez miwili, akaanza tena seke seke,
Nilipata tabu, na shida nying sana kuachana naee mpka kumsahau sababu ni mwanamke ambaye nilimpenda sanaaaa,
Hatimaee nikafanikiwa kumsahau, japo Anaish karibu na mazingra yangu ya kaz, nikaacha kumuona kabsa anajtiaa yupo busy na kaz, maisha yakasongaa, miez ikaptaaa, nikawa nipo fresh nimezoeaa kuish mwenyewe,
Akaja kunitaftaa, mwez wa 11 mwaka huu, kuw nimsamehee tusichukianee tuwe marafiki tu, mimi ndio niliyemtoa kjjn hawez sahau mambo mema nilomtendeaa, sifa kibaoo kazimwagaaaaa, nilisitaaa, kuwa na urafik naee sababu najua mwisho wake tutarudi tulikotokaaa ,
Lakin baadae nilikubali tukawa watu waku salmiaana, anakuja ofsn kwangu anapata huduma na hela naalipiaa kama wateja wengnee, mara ana nishirikshaa mambo yakee, lakin skuwa karibu kivile mda mwengne anawz nitaftaa, nisimjibuuu....
Sasa akaanza kuniulzaa, kuna stor zilivuma na mahusiano na wanawake kadhaa mtaani akawa ananiulzaa, kuhusu hao watu, nikamwambia mm sjui, lolotee, akawa na jaziba na hasiraaa, nikaona isiwe kesi, nikakataaa mawasiliano, kila mtu aendee na yakee!
Kila mtu kaasema bye byee .
Siku mbili sahz, mm natumia gb Whatsapp nikatuta ametuma sms Whatsapp alafu akafutaa,
Et "ya kujielezaa, ooh! Maisha kwangu yamekuwa magumu sana maelezoo kibaoo," na sijamtafaa mpak sahz nahis waliokuwa wanampa kivur ameyakanyagaaa!
Ila kiufup tuu huyu mtu hata iweje siwez kaa nikardiana anaeee nishaaa muaa kwenda mbeleeeeee