Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,520
- 22,015
Kamfungie mochwari wiki moja, hiyo ni adhabu tosha na hatarudia tena kukaa na vihasira vyake.adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Kamfungie mochwari wiki moja, hiyo ni adhabu tosha na hatarudia tena kukaa na vihasira vyake.adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Sio rahisi mkuu kuachana nae hu niugonjwa inabidi ni msaidie kwanza apone, kwasbb anajutia sanaa kila anapo fanya tukio kama hilo.Achana nae chizi hiyo.
Sasa itakuwaje? Inabidi nionane naeMkuu utamaduni wetu hauruhusu mke wa mtu kukutana na mwanaume mgine asie ndugu yake
Bado kukupasua wewe, tu
ndo ulijua kumkomesha lol.Hahahaaa,
Nilishawahi kufanya hii kitu kwa wife, nilimnunulia Samsung A12, mtoto nawaondosha ikawa na crack ya kawaida tu.
Mwishowe yeye na shoga ake wakashauriana eti wauze na akae bila simu hivyo itanifanya nimnunulie simu nyingine.
Nimeuchuna zaidi ya miezi sita sijanunua wala kujitingisha kuzungumza kuhusu hilo, at the of her drama akaingia huko vikobani kwake na kujinunulia yeye mwenyewe Infinix Hot 10.
KUa na umuhimu kwangu ni lazime iwe simu kubwa ya social mediaMnunulie kiswaswadu.
Ukimchekea nyani utavuna mabua.KUa na umuhimu kwangu ni lazime iwe simu kubwa ya social media
Mkuu nifanye je kumbuka tayari tuna watoto, kumtimua haiwezekani kwasasa hasira zake ndo hizo kumpiga viboko sio option, so what can i do?Ukimchekea nyani utavuna mabua.
Fact. Jasho lako ulolitoa kwa kujinyima na kugombana na watu wakati mwingne huwez vunja kisa hasira za hovyoAdhabu iwe kujinunulia simu yake mwenyewe.
Kitu ulichokitolea jasho huwezi kukiharibu hovyo hovyo
Definitely not at all...Unajua chochote kuhusu ''Afya ya Akili''?
Lea kama yai mkuu soon atakuwa boom na atakulipukia.Mkuu hawezi kununua simu yake she has no direct income zaidi ya zawadi nazo mpa, hapo ntakua na mwambia aende akafanye mengine .
In short Mental health is a state of mental well-being that enables people to cope with the stresses of life, realize their abilities, learn well and work well, and contribute to their community.Definitely not at all...
Unafuata wewe kupasuliwaHii ni mara ya pili huyu mwanamke anapasua simu yake kwasababu ya hasira na jaziba zinazo mshinda kuhimili akili zake, lakini anajutia baada ya kufanya hilo, bila shida kama mwana saikolojia najua huu ni ugonjwa. Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.
Leo kaomba msamaha na iko tayari kupokea adhabu yoyote ila nimtafutie simu nyingine tena ya tachi, ni kweli kua na simu ni muhimu kwake na mimi hususani ya simu kubwa, kwasababu sometime nasafiri nje ya nchi lazima nimpe maelekezo ya familia na maendeleo kupitia whatsapp, ukiondoa huu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto, adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Mshughulikie mapema usinekuta katupa mtoto chooniHii ni mara ya pili huyu mwanamke anapasua simu yake kwasababu ya hasira na jaziba zinazo mshinda kuhimili akili zake, lakini anajutia baada ya kufanya hilo, bila shida kama mwana saikolojia najua huu ni ugonjwa. Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.
Leo kaomba msamaha na iko tayari kupokea adhabu yoyote ila nimtafutie simu nyingine tena ya tachi, ni kweli kua na simu ni muhimu kwake na mimi hususani ya simu kubwa, kwasababu sometime nasafiri nje ya nchi lazima nimpe maelekezo ya familia na maendeleo kupitia whatsapp, ukiondoa huu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto, adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.