DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,215
Wakuu
Ijumaa usku nmewasili kwa mpenz wangu, nmeacha simu chaji sebleni, Tumewasha mziki mkubwa Kisha tukaelekea chumbani KUFANYA ya KUFANYA.
Baada ya mapumziko ya kipind Cha Kwanza, kainuka kwenda kupasha mchemsho wa viazi tule kabla ya kurud kuendelea na kipind Cha pili.
Akiwa anapasha mchemsho
Simu yangu seblen ikaita akaniita nikapokee simu yangu . Nmeinuka na taulo mpk sebleni na kuchukua Simu yangu Kwenda nayo nje kuongelea maana pale sebleni kulkua na makelele Sana
Nmerudi nashangaa mwenzangu kanuna, kavimba, hataki hata kunipakulia. Nmejipakulia nmekula nmeshiba, namwambia "tuendelee KUFANYA Basi" ananambia Nikafanye na niliekua naongea nae Kwny simu.
Nmeuuliza uljua naongea na Nani?
Anasema ashachungulia aliepiga na kumjua kabla sijaenda kupokea simu yake kua Ni yule shoga Yake Nesi namba yake anaijua. Anasema tuna mahusiano kwann nmeenda kupokelea nje nikiwa na taulo tupu Hofu yangu ilkua Nini.
Nmebaki na mshangao nikaona Hapa nikimbembeleza au kujieleza sn tutakesha Mana hoja zake zote naona hazina mashiko. Huyu labda Hana mudi ya KUFANYA kaamua TU kulianzisha vurumai kusudi ili tusiendelee. Nmevaa na nmeondoka zangu.
Hatujawasiliana jana siku nzima kila mtu kivyake. Leo Saa 1 Asbuh ananitumia malalamiko lukuki ila nikiyasoma yote naona hayana hata mashiko hata kidogo.
Labda wenzangu mnambie kama Ni kosa Kwenda nje kupokea Simu za rafiki zake na wapenzi wenu?
Ijumaa usku nmewasili kwa mpenz wangu, nmeacha simu chaji sebleni, Tumewasha mziki mkubwa Kisha tukaelekea chumbani KUFANYA ya KUFANYA.
Baada ya mapumziko ya kipind Cha Kwanza, kainuka kwenda kupasha mchemsho wa viazi tule kabla ya kurud kuendelea na kipind Cha pili.
Akiwa anapasha mchemsho
Simu yangu seblen ikaita akaniita nikapokee simu yangu . Nmeinuka na taulo mpk sebleni na kuchukua Simu yangu Kwenda nayo nje kuongelea maana pale sebleni kulkua na makelele Sana
Nmerudi nashangaa mwenzangu kanuna, kavimba, hataki hata kunipakulia. Nmejipakulia nmekula nmeshiba, namwambia "tuendelee KUFANYA Basi" ananambia Nikafanye na niliekua naongea nae Kwny simu.
Nmeuuliza uljua naongea na Nani?
Anasema ashachungulia aliepiga na kumjua kabla sijaenda kupokea simu yake kua Ni yule shoga Yake Nesi namba yake anaijua. Anasema tuna mahusiano kwann nmeenda kupokelea nje nikiwa na taulo tupu Hofu yangu ilkua Nini.
Nmebaki na mshangao nikaona Hapa nikimbembeleza au kujieleza sn tutakesha Mana hoja zake zote naona hazina mashiko. Huyu labda Hana mudi ya KUFANYA kaamua TU kulianzisha vurumai kusudi ili tusiendelee. Nmevaa na nmeondoka zangu.
Hatujawasiliana jana siku nzima kila mtu kivyake. Leo Saa 1 Asbuh ananitumia malalamiko lukuki ila nikiyasoma yote naona hayana hata mashiko hata kidogo.
Labda wenzangu mnambie kama Ni kosa Kwenda nje kupokea Simu za rafiki zake na wapenzi wenu?