- Thread starter
- #41
Hana kipato zaidi yangu mkuuAnunue ingine kwa gharama zake.
Hao wadudu sio wa kuwaamini,atakwambia kapasua kumbe kamuhonga bodaboda
Hana kipato zaidi yangu mkuuAnunue ingine kwa gharama zake.
Hao wadudu sio wa kuwaamini,atakwambia kapasua kumbe kamuhonga bodaboda
Acha wivu mkuu, nataka nikutane nae nimshauri.Mkuu siwezi kukupa number za mke wangu, kwa deal ipi?
Mkuu utamaduni wetu hauruhusu mke wa mtu kukutana na mwanaume mgine asie ndugu yakeAcha wivu mkuu, nataka nikutane nae nimshauri.
Hahahaaa,Adhabu iwe kujinunulia simu yake mwenyewe.
Kitu ulichokitolea jasho huwezi kukiharibu hovyo hovyo
Wakwangu hana vikoba au kazi nyingine zaidi ya kulea watoto kupika na kupakua, sasa tatizo ndo hilo hasira hasira za kuharibu mali.Hahahaaa,
Nilishawahi kufanya hii kitu kwa wife, nilimnunulia Samsung A12, mtoto nawaondosha ikawa na crack ya kawaida tu.
Mwishowe yeye na shoga ake wakashauriana eti wauze na akae bila simu hivyo itanifanya nimnunulie simu nyingine.
Nimeuchuna zaidi ya miezi sita sijanunua wala kujitingisha kuzungumza kuhusu hilo, at the of her drama akaingia huko vikobani kwake na kujinunulia yeye mwenyewe Infinix Hot 10.
Hana kipato ila ndio kupasua cm kila siku ni yeye.Hana kipato zaidi yangu mkuu
Mkalishe chini, assure her uko kwa ajili yakeHii ni mara ya pili huyu mwanamke anapasua simu yake kwasababu ya hasira na jaziba zinazo mshinda kuhimili akili zake, lakini anajutia baada ya kufanya hilo, bila shida kama mwana saikolojia najua huu ni ugonjwa. Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.
Leo kaomba msamaha na iko tayari kupokea adhabu yoyote ila nimtafutie simu nyingine tena ya tachi, ni kweli kua na simu ni muhimu kwake na mimi hususani ya simu kubwa, kwasababu sometime nasafiri nje ya nchi lazima nimpe maelekezo ya familia na maendeleo kupitia whatsapp, ukiondoa huu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto, adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Ubarikiwe mkuu ahsante sanaa, ntafanya opportunity cost kwake ili nayeye apate maumivu ya pesa.huo ugonjwa utaisha polepole,ila kwa sasa mnunulie simu nyingine at the expanse ya kitu kingine,ili afeel uchungu,ama punguza bajeti ya chakula,nguo au kitu ambacho ni lazima atakifeel
Kama simu anapasua akioa si atampika Supu amkunywe mzima mzima.Mkuu ya nini kusumbuka nae wakati una ruhusa ya kuoa wanne
Ahsante pia naona hilo nimeanza kulitekeleza angalau mwezi uishe bila simu nione jinsi atakavo jisikia.Hana kipato ila ndio kupasua cm kila siku ni yeye.
Muache bila simu miezi akili imkae sawa.
Mpelekee Motoo Mkuu.ukiondoa huu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto
Mkuu wa pili yupo japo mkoa mgine, kwa huyu kila siku anamtukana na kumsema kakasilika mpaka ka poa mwenyewe.Kama simu anapasua akioa si atampika Supu amkunywe mzima mzima.
Mi ni binti yangu ana michezo hiyo.nimepiga chini kwa muda akome.Ahsante pia naona hilo nimeanza kulitekeleza angalau mwezi uishe bila simu nione jinsi atakavo jisikia.
Mmh sio kweli mkuu unless you what to brcome extremist, to react hardly on every issue.People do unto you what you allow
Achana nae chizi hiyo.Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.