- Thread starter
- #21
Mmh, ushauri sio mzuri mkuu, utakae oa anaweza kua na msdhaifu zaidi ya hayoMkuu ya nini kusumbuka nae wakati una ruhusa ya kuoa wanne
Mmh, ushauri sio mzuri mkuu, utakae oa anaweza kua na msdhaifu zaidi ya hayoMkuu ya nini kusumbuka nae wakati una ruhusa ya kuoa wanne
Mkuu eleza udhaifu acha matusi mimi na kuheshimu mno sanaa hapa jf.Nyote wawili madungaembe.... Plugs hazichomi vyema
Ugonjwa wa akili wenyewe huo. Nyote mna mental illness!!Mmh magonjwa ya akili ki vip? Mkuu mbona mimi niko poa tu, na yeye ni pale tu hasira xinavo mzidi kuhimili ndo anafanya tukio kama hilo, mengine iko poa.
Nipe namba zake mkuu.Hii ni mara ya pili huyu mwanamke anapasua simu yake kwasbb ya hasira na jaziba zinazo mshida kuhimili akili zake, lakini anajutia baada ya kufanya hilo, bila shida kama mwana saikolojia najua hu ni ugonjwa. Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.
Leo kaomba msamaha na iko tayari kupokea adhabu yoyote ila ni mtafutie simu nyingine tena ya tachi, ni kweli kua na simu ni muhimu kwake na mimi hususani ya simu kubwa, kwasbb some time na safiri nje ya nchi lazima nimpe maelekezo ya familia na maendeleo kupitia what up, ukiondoa hu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto, adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Oa mwingine wawe wanapeana mawazo namna bora ya kukupenda.Hii ni mara ya pili huyu mwanamke anapasua simu yake kwasbb ya hasira na jaziba zinazo mshida kuhimili akili zake, lakini anajutia baada ya kufanya hilo, bila shida kama mwana saikolojia najua hu ni ugonjwa. Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.
Leo kaomba msamaha na iko tayari kupokea adhabu yoyote ila ni mtafutie simu nyingine tena ya tachi, ni kweli kua na simu ni muhimu kwake na mimi hususani ya simu kubwa, kwasbb some time na safiri nje ya nchi lazima nimpe maelekezo ya familia na maendeleo kupitia what up, ukiondoa hu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto, adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Ana mapepo siyo ugonjwa wa akili.Ugonjwa wa akili wenyewe huo. Nyote mna mental illness!!
Weee acha tu mkuu hili kwangu ni issue kubwa siwezi kumtimua mke kwa ajili hilo, siwezi kumpiga viboko mtu mgonjwa, simu ni muhimu kwa wote na hali ndo hiyo anazipasua akipata hasira je nifanye je?Covax nilikuwa namwona wa maana lakini kwa hili
Mkuu siwezi kukupa number za mke wangu, kwa deal ipi?Nipe namba zake mkuu.
Hilo hawezi ukimpiga kibao kimoja anatulia hata kurudisha hawezi masikini hawezi kunipiga.Bado kukupasua wewe, tu
We HAMAS wa mchambawima unasafiri nje wapi au nje ya nyumba yako? Hata Somalia kwa wajahidina wenzako al shabab hujawahi fika.Hii ni mara ya pili huyu mwanamke anapasua simu yake kwasababu ya hasira na jaziba zinazo mshinda kuhimili akili zake, lakini anajutia baada ya kufanya hilo, bila shida kama mwana saikolojia najua huu ni ugonjwa. Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.
Leo kaomba msamaha na iko tayari kupokea adhabu yoyote ila nimtafutie simu nyingine tena ya tachi, ni kweli kua na simu ni muhimu kwake na mimi hususani ya simu kubwa, kwasababu sometime nasafiri nje ya nchi lazima nimpe maelekezo ya familia na maendeleo kupitia whatsapp, ukiondoa huu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto, adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Nashukuru kwa mchango mzuri mkuu ubarikiwe.Nakushauri kila wakati akiwa na furaha jaribu kumshauri namna ya kuzuia hasira yake.
Lakini pia be positive always.
Akiwa na hasira uwe mwepesi sana kusihi na kuomba awe katika utulivu.
Mengine karibu inbox tuyajenge zaidi: 0714080785
Mkuu acha hasira unijui sikujui focus katika mada, mambo ya Imani tupilia mbali kuna maisha nje ya hizo imani, plz plz jiheshimu uta heshimika.We HAMAS wa mchambawima unasafiri nje wapi au nje ya nyumba yako? Hata Somalia kwa wajahidina wenzako al shabab hujawahi fika.
huo ugonjwa utaisha polepole,ila kwa sasa mnunulie simu nyingine at the expanse ya kitu kingine,ili afeel uchungu,ama punguza bajeti ya chakula,nguo au kitu ambacho ni lazima atakifeelHii ni mara ya pili huyu mwanamke anapasua simu yake kwasababu ya hasira na jaziba zinazo mshinda kuhimili akili zake, lakini anajutia baada ya kufanya hilo, bila shida kama mwana saikolojia najua huu ni ugonjwa. Je, huu ugonjwa unatibiwa? Je, wenye uzoefu na matukio kama haya naomba ushauri.
Leo kaomba msamaha na iko tayari kupokea adhabu yoyote ila nimtafutie simu nyingine tena ya tachi, ni kweli kua na simu ni muhimu kwake na mimi hususani ya simu kubwa, kwasababu sometime nasafiri nje ya nchi lazima nimpe maelekezo ya familia na maendeleo kupitia whatsapp, ukiondoa huu ushauri wa vijana wengi eti mpelekee moto, adhabu gani anastahili kupewa ili akomeshe hiyo tabia.
Hasira ni ugonjwa,utamuacha mke kisa anaumwa malaria au utamtibia.Mkuu ya nini kusumbuka nae wakati una ruhusa ya kuoa wanne
Huwezi ijua tabia ya mtu Hadi uishi naeUlijua ana anger management problem na ukamwoa bro, deal with it. Ila kuna wanasaikolojia wanaweza msaidia nenda muhimbili kitengo cha magonjwa ya akili.