pique3
Senior Member
- Jul 25, 2016
- 154
- 129
sio unamchafuwa, ni unamchafua - shuleni ulienda kusomea ujinga
sio unamchafuwa, ni unamchafua - shuleni ulienda kusomea ujinga
eeeh vizr kbsUnataka hadi anivae vizuri Kabisa? Au hata nusu kama singlet
Teh Teh Tehhh Mamndenyi katika ubora wakeUkitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
Sawa basi ni PM namba zako Kabisa nisave maana si mtembeaji Humu JF mara kwa mara kama uko serious akinivaa tu nakustua[/QUOTE][QUOTE="Joycefull, post: 18589964, member: 384752"eeh vzr kbs
Siku pita sehemu soma Post zote nimeeleza vizuri halafu urudi kunishauri
Alipaswa kujumuika na wageni pia naamini walikuja kuwasalimia wote..BADILI TABIA embu soma tena uzi wangu uelewe. Wageni walikuja home na baada ya kuondoka ndipo nikamfuata tukawa tunaongea yote kuhusu safari na mambo ya nyumbani tena wakati wageni wapo home nilimfuata room nikamwambia asijifeel isolated wakiondoka nitakuwa naye. Na wageni tuliwasindikiza pamoja naye yaani to my surprise ikawa hivyo later tulivyokubaliana home sikusema yote hapo kuhofia uzi kuwa wa kuchosha sana kusoma. Please advise
wew unachekesha kweli unafika asb badala kumsugua unawahi ibadani siungekua padre sasa hata mie ningenuna
Yaani kata mawasiliano katika hiyo kitu, mwisho wa siku atajileta, muulize hizo kejeli alizitoa wapi?? Itatibu tatizo lakini lazima uwe mvumilivu up 6 monthsWana MMU,
Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.
Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.
Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.
Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.
Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.
Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?
(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)
NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
Hatukuongea mambo mabaya wala yanayomhusu hata kidogo yaani inauma na kukasirishaHao nunaumko mliongra mambi yakumsema? je ni wale ndugu waropikaji? siku nhingine ukitoka kazini chukua hata dakika 5 mhagii mkeo deeply rashia hata cha jujuu ndo utike jamani mbona hivyo? Wanawake wakiwa na nyege pia hununa.
Asante sana Nyankuzi kwa kuelewa situation halafu kiburi na dharau vilinihuzunisha sana niliamua kujifanya mjinga tu mambo yaende. Hivi wanawake msipo simama vizuri kwenye Ndoa zenu tutapona? Mnatulazimisha wakati mwingine kufikiria mabayaMkuu Mungu ni wa muhimu sana kuliko yote tuyafanyayo..
Wanawake tuna visilani ambavyo havina umuhimu wowote hata ungekua umefanya kosa alipaswa kukupa kwasbb ni haki yako thn akimaliza ndo aendelee na mnuno.
Na sioni kosa la ww kukaa na wageni kwasbb uwezi acha wageni alafu unaenda tafuna tunda mawazo yasinge kuwa apo..
Mpeleke shm nzuri ikiwezekana mlale uko na umweleze kuwa aichokifanya hukukifurahia..
Na inabidi abadilike naamini atasema kinachomsibu...
kuna jinsi ya kumuadhibu mwanaume atajua tu amekosea sio kusitisha huduma..
Natumaini na ujumbe huu umemfikishia mkeo wako '' (Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi) ''
Ndoa ni tamu mno jamani. Purukushani ni sehemu ya maisha yenyewe.
Ni kweli wanawake tunachangia sana wanaume kuchepuka. Mama simama kwa ajili ya familia yako dharau,majivuzo, kebehi na jeuri ziache mlangoni.
Ukiingia ndani kuwa mpole
Yaani i wish niwe natoa semina ingawa bado sijaingia kwny iyo taasisi..
Mkuu ulifanya jambo zuri sana....hata kulala sebuleni ili yeye alale peke yake....hapo ungekua unamtesa kisaikolojia kabisa....Lazima angefunguka.....Haaaaa pole sanaaa mm mke wng alijifanya haongei na mm nami ndo sijamusemesha wala akipika chakula chake nilikuwa singusi kabsa haaaaa mbona alinyooka mwenyew na kuanza kuomba msamaha