naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,275
90%Utakuwa umemuharibia mipango yake na mchepuko wake kwa huo ujio wako
Najaribu kuwaza tu!
90%Utakuwa umemuharibia mipango yake na mchepuko wake kwa huo ujio wako
Najaribu kuwaza tu!
Mamdenyi.... hata nikirudi safari saa nane za usiku lazi a nikupekimoja kwanza kabla ya mengine yote?Ukitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
mashauri mengine kama haya ndo huwa nayapenda lkn hayajakaa ki great thinka! yamekaa ki hisia hisia tu...mbake tu
Ni rahisi sana kuhubiri hayo unapokuwa nje ya taasisi husika.Ni kweli wanawake tunachangia sana wanaume kuchepuka. Mama simama kwa ajili ya familia yako dharau,majivuzo, kebehi na jeuri ziache mlangoni.
Ukiingia ndani kuwa mpole
Yaani i wish niwe natoa semina ingawa bado sijaingia kwny iyo taasisi..
TrueNi rahisi sana kuhubiri hayo unapokuwa nje ya taasisi husika.
Hii ni moja ya Advantage ya kuoa mwanamke mmojaWana MMU,
Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.
Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.
Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.
Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.
Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.
Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?
(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)
NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
Mwambie aje kwangu hatajutia
Kaka nina imani huyo mkeo atakua ni mchaga maana nazijua tabia za wanawake wa kichaga dharau na visa na mikasa hua haviishi kwao.Huenda mwenzangu yeye ni tofauti kwake yani hata kupokelewa mizigo sikupokelewa but nilikuwa positive tu nilienda hadi ndani na baadae jioni nikaona hadi mahesabu ya Biashara niliyoifanya plus romantic words how I missed her but niliambulia dharau na negative response. Wewe ni mzoefu wa ndoa what do you suggest?
Acha mawazo potofu weweKaka nina imani huyo mkeo atakua ni mchaga maana nazijua tabia za wanawake wa kichaga dharau na visa na mikasa hua haviishi kwao.
Nina hakika na ninachokisema fatilia kwa umakini tabia za wanawake wa kichaga utapata majibuAcha mawazo potofu wewe