Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

kwani mna watoto wangapi jikite katika kuijali familia usiweke kinyongo nae yeye mwenyewe atabadilika na kuanza kukupa mzigo kama kawaida
 
Mkuu Pole sana ila kuwa makini coz Mke wako akifikia stage ya kukunyima tendo la ndoa bila sabubu ya msingi sio hishara nzuri, kaa nae tena na tena chini ongea nae vizuri ujue what the proble!! Ili msameheane maisha yaendelee..ikishindikana plan b kama uchumi yani kipato chako na dini yako inaruhusu ongeza mwingine. Kama yeye ayataki maelewano Mkuu.
 
Mkuu ukisoma vizuri nalifanya yote hayo sikukurupuka. Fikiria hadi point ambapo Nampa mrejesho wa safari yangu pia nilikokwenda na yote niliyopata etc. It was not just to jump to sex. Kuhusu mawifi kumkoromea mbona hata siishi nao? Na kama wamemkoromea why asiniambie wakati namuuliza what's wrong?
Mnunulie dhahabu kama anapenda
 
Wana MMU,

Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.

Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.

Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.

Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.

Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.

Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?

(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)

NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
usimusumbue kakunyima utamu piga kimya bro silence treatment ukimukomalia sana atakuona weak tafuta hata muchepuko mukule sijui unafeli wapi bro huitaji akili nyingi kushindana na mwanamke akili kidogo tuuh
 
"Ukaongea nae juu ya safari na returns zote ulizopata". Hapo kuna few issues

1. Pamoja na kutoka kwenye safari yenye mafanikio, ulikumbuka hata kumnunulia wife zawadi? Kwa wanawake this is a big deal!
2. Kuna kitu wife keshaomba sana wewe umekataa wakati yeye anaona kipo ndani ya uwezo wenu. Mfano mtaji wa biashara, aliomba furniture mpya, shule anayotaka mtoto aende, kuhamia makazi mengine, kusaidia kwao etc. So anaona uwezo upo ila hana say kwenye hiyo returns.
3. Yawezekana humshirikishi kama mke kwenye plan za maendeleo rather unampa tu feedback kama hivyo ulivyotoka safari. Na pengine kuna mipango amekusikia umediscuss na ndugu zako huku yeye hujamwambia.

Wewe ndio unajua vizuri tabia ya mkeo. Kama hana tabia ya kununa nuna, basi kuna kitu kati ya hivyo kimemsibu, au kingine kabisa, fikiria tu. Wanawake revenge yao ni kwenye tendo la ndoa. Kunyimwa tendo la ndoa ni kawaida sana kwenye ndoa. Haimaanishi anachepuka. Halafu ni mwaka wa kwanza wa ndoa ndio sex hua ni priority kwa wanawake. Kuanzia mwaka wa pili na hasa akipata mtoto kwa operation wengi wao sex sio priority tena. Ni wachache mno hurudi kwenye normal sex life.
Wewe mpe wife siku mbili tatu atafunguka tu. Endelea kutimiza majukumu mengine ya familia kama kawaida. Na yeye anao wajibu wa kuendelea kutimiza majukumu mengine ya familia. Mke mwenye busara ya chumbani hua yanaishia huko huko chumbani.
Mwisho wa siku wewe ndio kichwa cha familia. Ni wajibu wako kujua tatizo ni nini, and how to fix it.
 
Wana MMU,

Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.

Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.

Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.

Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.

Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.

Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?

(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)

NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
Kwa lengo la watu kujifunza tafadhali share nasi juu ya shida ilikua nini na ulitumia njia gani kutatua?

Ninafahamu muda mrefu umepita (almost 4years) but kama unawezapata kumbukumbu yake tafadhali share nasi mkuu ili kwa wale wanaopitia the same situation wapate kujifunza jambo.
 
Mkuu make spy maana kutokana na maelezo yako itakuwa kunamaneno kuambiwa yaweza kuwa mambaya juu yako ama kuna dume limemkunja kipindi umesafili dume likamjaza sumu ama show za dume zilkuwa za kishindo " pengine wewe sikuzote ni mpapasaji " Ushauli fanya uchunguzi kwa kina .
 
Mkuu ukisoma vizuri nalifanya yote hayo sikukurupuka. Fikiria hadi point ambapo Nampa mrejesho wa safari yangu pia nilikokwenda na yote niliyopata etc. It was not just to jump to sex. Kuhusu mawifi kumkoromea mbona hata siishi nao? Na kama wamemkoromea why asiniambie wakati namuuliza what's wrong?
Ni kawaida hayo! Wewe kuwa mpole tu atafunguka.Tena kwa staili hiyo uliyofanya ya kujifanya uko bize na mambo yako,atajileta tu.
 
Inabidi ujiulize,je ni mara ya kwanza inatokea au ameshazoea?ni kawaida yake?
Kama ni mara ya kwanza tulia ujue chanzo as wanawake kuwa hivyo lazima kuna sababu
Ila kama kashazoea basi hana hisia nawe tena ujue unasaidiwa yan ndoa imevamiwa
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom