Mke wangu kanifokea sana

Mke wangu kanifokea sana

Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
bado kipigo..............
 
Siku utakuja mpa beki tatu boxer afu useme mkeo kasafiri, kubali ulitenda kosa bila kudhamiria ili yaishe.
 
Kwa nn ufokewe mwanaume l?muonye asiludie tena hata kama umekosea mwanaume hambiwa kwa upole kaka waga hatifokew na wanawake aise ni fedheha
 
Kama umekosea asikufokee kwa nini? Labda kama ni mbele za watu au watoto.
 
Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
Stahmili kama umeliona ni kosa basi omba msamaha,la ni jambo la kawaida Dada kukufulia ni sawa tu, na wewe unanichekesha lakin kufokewa unataka ushauri angekupiga vibao? lol.........
 
Nyie wanaume wa mikoani maboya kweli sasa huyo ni mke wako au mume wako?!
 
sio vizuri kumpa taulo beki 3 afue isitoshe hilo hilo taulo huwa mnatumia kufutia futia mananiii usiku ndio maana mkeo alimaindi
 
Inabidi upinduliwe wewe hustahili wadhifa mkubwa kama huu.

Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
 
We ni mdhalilishaji kwa jinsi tu ulivyo yani umeshindwa kumuita Dada wa kazi hadi umuite beki tatu? Mnatusumbuaga sana nyie mlokuja mjini na fuso za pamba asuhi nyie .Yani mkishapata pesa tu mnajidai kusahau na ngebe lukuki.
 
Me kwanza nafikiria nitaanzaje kutoa dukuduku,mara nyingi nalimalizia kitandani usiku.....nkiwaza tu kumpandishia sauti mume wangu hata kwa bahati mbaya nahisi ka nimemdharau which is not good,na mwanaume akiona kadharaurika atatafuta pa kuheshimika siku moja
nimekupenda bure dada yangu
 
Back
Top Bottom