Hapa ungekuja na hoja ya kumtoa manundu wife wako tungeanzia hapo kwa uzuri.ila kutukanwa afu unakuja kuomba ushauli,binafsi nakuhulumia ila ngoja nikutazame tu.Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.
Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.
Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
Me kwanza nafikiria nitaanzaje kutoa dukuduku,mara nyingi nalimalizia kitandani usiku.....nkiwaza tu kumpandishia sauti mume wangu hata kwa bahati mbaya nahisi ka nimemdharau which is not good,na mwanaume akiona kadharaurika atatafuta pa kuheshimika siku mojaMe wangu huwa analalamika siku akinofekea atajuta. Mkanye huyo mkeo mara moja.
Bila shaka ndoa yenu ipo imara na itadumu kama mlivyoapa wakati wa kuoana, bigup sanaMe kwanza nafikiria nitaanzaje kutoa dukuduku,mara nyingi nalimalizia kitandani usiku.....nkiwaza tu kumpandishia sauti mume wangu hata kwa bahati mbaya nahisi ka nimemdharau which is not good,na mwanaume akiona kadharaurika atatafuta pa kuheshimika siku moja
Anawasiwasi labda umegegeda beki tatu...!!
All in all muonye asiwe anakufokea, wanaume hatufokewagi..
Alisafir kwa wiki 1. Taulo ninayo 2 nipe maoni yako mkuuAlisafiri kwa muda gani?
Taulo unalo hilo moja?
Mbona kawaida mkuu (kwa dar lakini )Swala hapa si osigelo kukufulia taulo...
Hapa hoja ni mwanaume kufokewa na mkewe...
Inawezekaje??
Ungetumia hata vitenge vyake!Kama yeye ndie anakufulia nguo zako, na ulikuwa na taulo lingine basi ungeliweka limsubiri.
Ila kama ilikuwa taulo moja tu ndio unasubiri kauka nikuvae, mueleweshe hukuweza kutumia taulo chafu. hapo mwambie unahitaji taulo lingine hata uwe na matatu au zaidi sawa tu.
Ila labda pia ana masharti ya kuzingatia.
..Unabusara sana wewe mdada,..Hakika mumeo kapata...Me kwanza nafikiria nitaanzaje kutoa dukuduku,mara nyingi nalimalizia kitandani usiku.....nkiwaza tu kumpandishia sauti mume wangu hata kwa bahati mbaya nahisi ka nimemdharau which is not good,na mwanaume akiona kadharaurika atatafuta pa kuheshimika siku moja
Hahahahha,kumbe uzuri una kipimo siku hiziHuyo house girl ana uzuri GB ngapi hadi kumpa wasi wasi mkeo?
Wenzio walikuwa wanapigwa na stuli, we unashangaa kufokewa? Acha first lady wa wasukuma afanye yake....Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.
Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.
Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?