Mke wangu kanifokea sana

Mke wangu kanifokea sana

Kwan wakat mnamtafuta huyo dada wa kazi mlimpa mipaka nguo za kufua au?
 
Ulivunja masharti ya sangoma. Inabidi aanze upya. Kufokewa ni lazima kwani mtego umefetuka.
 
We mwanamke anakufokea unamkaushia? Duh! Hiyo haitakiwi kabisa mkuu.
 
Najenga picha jinsi ulivyokuwa unafokewa halafu wewe umekaa tu unasikiliza.
Jitahidi usimame kama mwanaume mana ukimchekea chekea atakupanda kichwani na ipo siku atakuaibisha mbele za watu.
Ila kumbuka kuwa mkeo naye alikuwa anaitetea ndoa yake usijezidisha mazoea na beki tatu mana mnaanzaga kidogokidogo
 
Mkuu nahisi una ulemavu wa mikono na miguu, nilitegemea ungeandika nimekata makofi na mitama wife baada ya kunifokea.
Amemfokea kwa ajili ya ulemavu alonao mwanamme anashindwa kufua taulo mkewe akiwa hayupo. Afu kesho nyo housegirl anafua nguo zangu.
Mi ningempa zote hadi nguo zake za ndani afue afu nimsikie anaguna
 
inaonesha una tabia ya kuwagegeda beki 3 ndo maana mke wako alikujia juu
 
Wewe ndio mwanamme, wewe ndio muamuzi wa nyumba, jikaze sana unapokua nyumbani. Akifoka na wewe foka na muyamalize huku wote mmefoka.
Usiwe mvivu kupita kiasi, kwa bize gani ushindwe kuchukua daika 5 ukaosha taulo?
 
Back
Top Bottom