Mke wangu kanifokea sana

Mke wangu kanifokea sana

Pole, kukugombeza haikuwa sahihi. Ila wewe kwa nini lakinii umpe dada wa kazi taulo lako afue? Taulo bhana halina tofauti na boxer yako unafutia mwili woote kila mahala jamani, kama ni mkeo anafua basi muwekee arudi afue tumia taulo ingine
 
Wakikusikia wasukuma wenyewe utawabeba

Ushauri: Binafsi nina sana Avoid direct communication na house girl na pia huwa simpi chochote directly ni lazima kipitie kwa mama mwenye nyumba na kuhusu nguo hata kama mwenzangu kasafiri basi ntazifua mwenyewe...hii inasaidia kupunguza misunderstandings na mwenzio so jaribu kufanya hivo brother it might help
 
Wakikusikia wasukuma wenyewe utawabeba

Ushauri: Binafsi nina sana Avoid direct communication na house girl na pia huwa simpi chochote directly ni lazima kipitie kwa mama mwenye nyumba na kuhusu nguo hata kama mwenzangu kasafiri basi ntazifua mwenyewe...hii inasaidia kupunguza misunderstandings na mwenzio so jaribu kufanya hivo brother it might help
# I meant Nina avoid sana direct communication#
 
Pole Sana lakini naamini nguo nyingne pia zilkuwa chafu ila hukumpa ukaona umpe taulo tu kwanini?Ungeacha tu wife akija afue zote ungechukua taulo lingine anakupenda naamini pia hajafoka ileee amekuambia tu kuwa hajapenda
 
Aisee ww... mwanamke anakufokea na ww unakaa kimya . Aisee.. wewe ndue mwanaume ndani ya nyumba ... mwanamke hatakiwi kuwa na sauti juu yako. Man up nigga... be a man..
Just ongea na mke wako taratibu. Maan wewebhuna kosa... lolote. Lakin kama atendelea kukubwatukia.. then mikanda na makofi vitahitajika.. maana hiyo itakuwa ni dharau na anataka kukupanda kichwani.
 
bora wewe unafokewa na wife.wengine huku tunafokewa na galfriends.mapenzi yana nguvu sana mkuu wala usijione bwege..subiri mkeo hasira zikiisha mueleweshe vizuri
 
Kama yeye ndie anakufulia nguo zako, na ulikuwa na taulo lingine basi ungeliweka limsubiri.

Ila kama ilikuwa taulo moja tu ndio unasubiri kauka nikuvae, mueleweshe hukuweza kutumia taulo chafu. hapo mwambie unahitaji taulo lingine hata uwe na matatu au zaidi sawa tu.

Ila labda pia ana masharti ya kuzingatia.

Ukome, bora ungenunua taulo jingine, au Kuna kitu alifutia chakutia kinyaa?
 
Wewe ni msukuma wa wapi mkuu
Mbona wasukuma hawapo hivyo
Mm msukuma mstaarabu sio kila kitu lazima urushe ngumi mkuu. najarbu kupima kosa langu lilipo kufuliwa taulo tu. Je ningemgegeda nadhani angejinyonga kbsa

## Wanawake wenye wivu wanachunguza sana zaidi ya FBI
 
Wakikusikia wasukuma wenyewe utawabeba

Ushauri: Binafsi nina sana Avoid direct communication na house girl na pia huwa simpi chochote directly ni lazima kipitie kwa mama mwenye nyumba na kuhusu nguo hata kama mwenzangu kasafiri basi ntazifua mwenyewe...hii inasaidia kupunguza misunderstandings na mwenzio so jaribu kufanya hivo brother it might help
Mkuu asante kwa ushauri
 
Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
Hahaa haha


Mkuu nawewe umeanza kuiga tabia za wanaume wa....

Maana nyie Wasukuma huwa hamfokewi bhana,na kuna uzi humu uliwahi kukanusha hii tuhuma sasa niwewe kweli kimekutokea??

MyTake:Nihisi hichi kitendo kafanyiwa jirani yako sio wewe
 
Back
Top Bottom