
# I meant Nina avoid sana direct communication#Wakikusikia wasukuma wenyewe utawabeba
Ushauri: Binafsi nina sana Avoid direct communication na house girl na pia huwa simpi chochote directly ni lazima kipitie kwa mama mwenye nyumba na kuhusu nguo hata kama mwenzangu kasafiri basi ntazifua mwenyewe...hii inasaidia kupunguza misunderstandings na mwenzio so jaribu kufanya hivo brother it might help
Kama yeye ndie anakufulia nguo zako, na ulikuwa na taulo lingine basi ungeliweka limsubiri.
Ila kama ilikuwa taulo moja tu ndio unasubiri kauka nikuvae, mueleweshe hukuweza kutumia taulo chafu. hapo mwambie unahitaji taulo lingine hata uwe na matatu au zaidi sawa tu.
Ila labda pia ana masharti ya kuzingatia.
iyo nikawaida tu sio ukafanye maamuzi magumumkuu naomba kwanza ushauri kabla sijafanya maamuz magum
Mm msukuma mstaarabu sio kila kitu lazima urushe ngumi mkuu. najarbu kupima kosa langu lilipo kufuliwa taulo tu. Je ningemgegeda nadhani angejinyonga kbsaWewe ni msukuma wa wapi mkuu
Mbona wasukuma hawapo hivyo
Mkuu asante kwa ushauriWakikusikia wasukuma wenyewe utawabeba
Ushauri: Binafsi nina sana Avoid direct communication na house girl na pia huwa simpi chochote directly ni lazima kipitie kwa mama mwenye nyumba na kuhusu nguo hata kama mwenzangu kasafiri basi ntazifua mwenyewe...hii inasaidia kupunguza misunderstandings na mwenzio so jaribu kufanya hivo brother it might help
Ukome, bora ungenunua taulo jingine, au Kuna kitu alifutia chakutia kinyaa?
Hahaa hahaWasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.
Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.
Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?







Njema kabisa ondoa shakaMkuu hv una nia njema kweli