Mke wangu hunitega na kujilengesha

Mke wangu hunitega na kujilengesha

Watu hutofautiana haiba. Mimi huwa napigiwa simu kabisa nikiwa kazini kwamba baba leo upate lunch ya kutosha usiku kuna kazi!!!
 
Mke wako anatabia za kimalaya. Mle jicho

Wewe unataka akiwa chumbani na mumewe awe kama sista? Mwanamke anatakiwa amfanyie mume wake kila aina ya huo unaofikiri wewe kuwa ni umalaya,whatever she wish,ilimradi hamkeri. Tena huko kutega ndo safi,hata kama huna mood ukivaliwa kile kiguo cha kuzimia TV lazima uingie kwenye 18.
 
Shukuru Mungu wewe mkeo anatumia body language kuna wengine wananyimwa unyumba wanaishia kubaka wake zao.Kwa mtazamo wangu mkeo ni the best wife kama alivyosema mdau mmoja hapo juu ukimuelewa inatosha.Ukijiuliza sana utaharibu sasa.Ukishakuwa mwanandoa Funga chumba chako tembea na funguo yaani umekiacha wazi hadi huku jf tunachungulia ndani

You are real an executive.
 
Kama unatamani akwambie kwa maneno, anapotambua kuwa unatamani atamka atafanya hivyo
 
unalalamika au? jaribu kuanzisha kamchezo ka mahaba af jifanye humpi vile af mnongoneze mwambie akutamkie anataka nini ili ajikute anafunguka...kuwa mbunifu platinum...wenzio hizo fursa ndio za kuweka ufundi, manjonjo pia....
 
afadhali ndugu yangu umemsaidia huyu mtu mambo ya ndoa ni siri ya wawili sasa yy analeta jf sijui anataka nini tena yaani inaelekea hajafundishwa jando huyu itabidi nilete somo la maisha ya ndoa na nyumba hapa maana naona kumetinda
TUnza siri za ndani, hukwenda mafundisho ya ndoa?? hukufundwa kuishi na mke?? huna hata haya...

Ndoa ni sacred and privacy is the way

Mbaff
 
Back
Top Bottom