Mkeo ni team Membe au Lowassa!!??? Kidding
tunakula mimi na wewe.umeridhika?
Mkuu wanawake huwa tu waoga kutamka japo ! But it's a good thing unamuelewa! ! Ila pia ninachokiona mnaishi ki mume na mke zaidi (baba na mama ) na sio kirafiki
Kama unaweza mtengenezee maisha ya urafiki hata utani wa kucheza akuzoee kirafiki atatamka
nilishajaribu kutengeneza mazingira hayo na hata kuongea nae lakini wapi,ts years now
Hahaha duh! You just can't make this stuff up. Wewe ukitaka huwa unasema, bro?
yap,naomba mkuu
ni kweli mkuu,ila nilitamani sana hata siku moja anitamkie kwa maneno
Kwamaana hiyo utakuwa siku zote unambaka,kwasababu hakuna siku aliyotaka yeye,au?
Hivi mpaka siri za ndani baina ya mume na mke pia zinaanikwa hadharani?
Kwa kiswahili sanifu huo unaitwa 'usungo'[/QUOTE
Usungo means MTU asiyeenda jandoni au yule aliyetahriwa hospital!
nilishajaribu kutengeneza mazingira hayo na hata kuongea nae lakini wapi,ts years now
ni kweli mkuu,ila nilitamani sana hata siku moja anitamkie kwa maneno
wadau naamini mko poa,tangu uchumba,ndoa na hadi sasa ni miaka kadhaa na watoto juu,waifu hajawai kuniomba unyumba kwa maneno.huwa ananitega na kujilengesha kiasi kwamba mi ndo inabidi nitambue kuwa waifu ananihitaji.yaani anaweza kunivalia kimtego flani hii,au kukaa hivi au vile ili mradi tu kutengeneza mazingira ya mimi kutambua ananihitaji.
hivi wanamme wenzangu wenye wake huwa nanyi pia mnakutana na hali hii?je ni kawaida bila mwenza wako kukuomba kwa maneno?