chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 456
- Thread starter
- #61
Shukuru Mungu wewe mkeo anatumia body language kuna wengine wananyimwa unyumba wanaishia kubaka wake zao.Kwa mtazamo wangu mkeo ni the best wife kama alivyosema mdau mmoja hapo juu ukimuelewa inatosha.Ukijiuliza sana utaharibu sasa.Ukishakuwa mwanandoa Funga chumba chako tembea na funguo yaani umekiacha wazi hadi huku jf tunachungulia ndani
thanx mkuu,nimekusoma executivesister