Mke wangu hunitega na kujilengesha

Mke wangu hunitega na kujilengesha

Dah! Huyo Mimi ndo nampenda, mwanamke WA kunitega, yaani popote pale akinitega naua, iwe chumbani, sebuleni AMA jikoni. Tamu kweli hiyo aisee ya kutegwa.
 
Wa bara bwana kazi kweli ndugu yangu ungeoa wa mwakaleli mwenzio haya mambo ya pwani huyawezi
 
Wanaume balaa kwani kosa gani mtu kutaka kitu chake kwa style?? Yaelekea wewe hujui kumuandaa mkeo kabla kaxi yako kupiga mitama tu. Huko ni kubaka!!!
 
Kiongozi hiyo ndio kumbiwa maneno hayana tofauti yeyote...tena maneno ya naweza kuwa hamaanishi.
body language speaks Lauder than words
Acha ushamba!!!
 
TUnza siri za ndani, hukwenda mafundisho ya ndoa?? hukufundwa kuishi na mke?? huna hata haya...

Ndoa ni sacred and privacy is the way

Mbaff

nadhani wewe ndio jinga kabisa!! Kwani mtoa mada mnafahamiana wapi? He has just remained anonymous hivyo hakuna siri yeyote iliojulikana hapo. Acha kukariri kipumbavu na kuropoka ili tu na wewe uonekane umepost!!
 
nadhani wewe ndio jinga kabisa!! Kwani mtoa mada mnafahamiana wapi? He has just remained anonymous hivyo hakuna siri yeyote iliojulikana hapo. Acha kukariri kipumbavu na kuropoka ili tu na wewe uonekane umepost!!

and that is the difference between me and you

Go on... enjoy
 
duuh! Yaani wewe ndio akili moja! Sasa ulikuwa unatufikiriaje? Ulidhani tunabaka tu.....

Hahaha parlay brother. Mi nilidhani kunakuwa na codes kama anazotumia mke wake, au mazingira yakiruhusu popote muda wowote mnajiachia tu.
 
Mke wako anatabia za kimalaya. Mle jicho

Ndorrroooobo wewe

Body language (lugha ya mwili) unatakiwa kusoma alama za nyakati sio kusikiliza maneno kama maneno wewe unayazungumzia mimi nafanya matendo.
Jama kapata mke bombaa mwenye kujua thamani ya uanamke wake.
 
Back
Top Bottom