chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 456
- Thread starter
- #101
mume wangu leo nataka kuchapwa na abdallah kichwa waz
haahaha karibu waifu anistukie hapa baada ya kuangua kicheko
mume wangu leo nataka kuchapwa na abdallah kichwa waz
Mke wa ukweli huyo
Aisee....nikadhani ni mimi tu,kumbe tupo wengi!!
mume wangu leo nataka kuchapwa na abdallah kichwa waz
ni kweli mkuu,ila nilitamani sana hata siku moja anitamkie kwa maneno
Kijana unaonekana ni bachelor kama sijakosea.daa ..mwenye bahati habahatiki...nipe mimi huyo! akipandisha kanga tu...nampanda..akipita na kanga moja..nampanda na hata akikaa kwenye sofa huku kainua mguu ..nampanda. huyo yuko pouwa
Kijana unaonekana ni bachelor kama sijakosea.