radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Moja kati ya stories zinazotrend katika mitandao ya kijamii leo Jumanne ya January 30 2018 ni post ya Tunda ambapo alipost picha yake katikaukurasa wake wa instagram na baadae Aunt Ezekiel kumjibu kwa kucomment.
Baada ya majibizano yaliyokuwa yakiendelea kati ya Tunda na Aunty Ezekiel , Mose Iyobo akaamua kumjibu Tunda kwa kuandika “Ujinga ni kubishana na mtu ambae kashafanya kila kitu ambacho wewe unafanya leo kama marudio unachotakiwa useme tu sina hiyo hela nitalipa siku flani”-Mose Iyobo
“Sio kuanza kuongea ushamba mke wangu awezi kutafuta kiki kwako ana mtoto maarufu kushinda wewe./kingine ben ten ni baba yako aliekuzaa akashindwa kukupeleka shule umeishia kufumuliwa free unakosa laki yakulipa pombe.”-Mose Iyobo
Baada ya majibizano yaliyokuwa yakiendelea kati ya Tunda na Aunty Ezekiel , Mose Iyobo akaamua kumjibu Tunda kwa kuandika “Ujinga ni kubishana na mtu ambae kashafanya kila kitu ambacho wewe unafanya leo kama marudio unachotakiwa useme tu sina hiyo hela nitalipa siku flani”-Mose Iyobo
“Sio kuanza kuongea ushamba mke wangu awezi kutafuta kiki kwako ana mtoto maarufu kushinda wewe./kingine ben ten ni baba yako aliekuzaa akashindwa kukupeleka shule umeishia kufumuliwa free unakosa laki yakulipa pombe.”-Mose Iyobo