Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

Acha kwanza apate stimu za joto na kumbato lako then ndo umtafute uongee nae kwa mahaba mazito huku ukimwangalia kwa jicho la kubembeleza huku ukimshika shika mikono..yani iwe kama ndo unamtongoza..mwambie nakupenda mke wangu nimekumiss sanaaa yani napata tabu sanaa,then muombe mtoke hata nje tuu ya ukuta wa kwao hapo unambanania ukutani unambusu na kumshika shika baada ya hapo kesho au usiku huo huo mtaanza upya. Msamaha tayari sio wote wanaopenda hela mpe mapenzi tuu. Ww itakua ulimmistreat kwny suala la upendo juu yake.
 
Kuna ndoa wamekaa miaka karibia arobain ila wameachana kwa talaka, wasichojua wanaume wanawake huwa tunavumilia maumivu hadi yanapoa tukishaanua inakuwa point of no return.
Simpi talaka yoyote hata iweje kwa sababu nyingiii kikubwa wanangu wasipata anko mpya maana waifu nae anavyopenda mchezo wetu wa wakubwa dah
 
Vuta subira tu mzee.. Hata yeye huko aliko, ndani ya miezi mitatu atakuwa ameteseka na kutokuwepo kwako---Sema atajidai dai kukaza, we utampotezea kidogo----Then atajileta.

As long as una watoto, hakuna la kuogopa. Labda kama yeye ndo main provider wa ndani ya nyumba yako, ikiwa hivi i can not guarrantee cz psycholojia ya hawa dada zangu wanaijua wenyewe wakiyapatia maisha.
Mkuu kwa wanawake huwa ni tofauti kidogo akiteseka muda mrefu kisha akafanikiwa kuchukua maamuzi kurudi ni ngumu mno
 
Hivi wanawake wa hivi bado wapo kweli?kwamba akiudhiwa anaenda kwa wakwe?
Hawa waandikwe kwenye bible kama wapo
Vuta subira....

Atarudi huyo,
Mpe tu muda.
Wanawake wanaweza vumilia hata mwaka hawajagongana , sio kama sisi wanaume, kuwa na aman mkeo hajagongwa bado.

Huu ni muda ambao unatakiwa kuonyesha umejutia jambo ulilofanya.

Je jitihada gan umechukua?
Unahizi hizo jitihada zinatosha?
Asante ndugu asante sana ishu ni tukiwa wote anatakaga sana sasa inakuwaje huko au anavumilia. Jmosi nataka kuktumia ndugu yake ampeleke sehemu kinguvu alafu nizuke
 
Asante ndugu asante sana ishu ni tukiwa wote anatakaga sana sasa inakuwaje huko au anavumilia. Jmosi nataka kuktumia ndugu yake ampeleke sehemu kinguvu alafu nizuke
Wewe unataka suluhu au unataka kupunguza nyege? Mbembeleze usitumie nguvu
 
Wapo, na ndo mke anavyotakiwa kuwa. Mke anatakiwa kuwa na Discpline na kufuata taratibu na utii wa kiapo chake.

Hata kwenye kuivunja ndoa asiyoitaka, anaenda kwa wakwe kisha anawasiliana na wazazi wake waje wamkuchukue hapo.

Kinyume na hapo umeoa malaya tu Unless amepima akaona hakuna usalama ndipo atawajulisha wazazi wake na wazazi wake watazungumza na wakwe kuwa mtoto wapo naye.
Mimi ni mwanaume ila nakukatalia. Aende kama kosa ni dogo sana. Langu hata shetani atamshangaa kwenda kwa wazazi wangu
 
Ukimuomba msamaha ndiyo unaharibu, huyo atakuwa Ana kazi na anaona anajiweza kuishi na wanawe,
wanawake wengi wenye kazi wakishazaa watoto wawili wanatamani kuwa single mother bila sababu za msingi.
Cha kufanya kuwa kimya na usimtafute hata kidogoo atajiona mjinga atarudi Ila ukizidi kumtafuta na kukuomba masamaha ndiyo kiburi kinamzidi.
Ushauri nzuri huu unafanya kazi ukiuapply
 
Back
Top Bottom