yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,882
- 3,293
Mkuu avatar yako inaendana na ulichokiandika, au wewe ni mtaalam wa hizo kazi? (Jokes)Muendee kwa mganga.
Mkuu avatar yako inaendana na ulichokiandika, au wewe ni mtaalam wa hizo kazi? (Jokes)Muendee kwa mganga.
We jamaa ni msengerema boya boya fulan hivi, unajifanya gentleman kumbe ni ushubwada tu wewe kila anaekupa ushauri unamwijia juu,Simpi talaka yoyote hata iweje kwa sababu nyingiii kikubwa wanangu wasipata anko mpya maana waifu nae anavyopenda mchezo wetu wa wakubwa dah
Umemkosea nini?
Achana nae mbona wanawake ni wengi tu, piga chini (walisikika wakulungwa wa JF wakiongea)
nenda kwa sangoma, amrudishe, muamini mungu kama hauna shida "MTU MZIMA MWENYE MVI KICHWANI" aliniambia haya manenoHabari wakuu wa kaya
Nina account humu ila imebidi nifungue nyingine sababu tunafahamiana na baadhi ya watu humu na mimi ni mjuaji yani mbele za watu napenda kuonekana mwanamke hawezi kunipelekesha.
Nimemkosea mke wangu wa miaka 7 ya ndoa. Miaka 7. Tuna watoto wawili. Amegoma kunisamehe ameondoka, naumia kuwaza kuna mwanaume anaweza kummliki.
Msinishauri nijikaze, siwezi siwezi siwezi kuona kuna mwanaume atakuja kuwa anatambulika kama baba au uncle kwa wanangu, nasema siwezi. Ameacha kila kitu nyumbani ina maana kuna mtu ataenda kumnunulia vingine au? Nimejenga ila sioni faida ya kuishi kama watoto wangu hawazunguki nyumbani hapa na kelele zao.
Siamini kuzaa nje ovyo ovyo najua madhara yake. Nifanyaje arudi mama Doreen wangu. Amenivumilia mno. Najisikia vibaya sana naishi kama mhuni tu nyumbani. Nifanyeje arudi. Nizeeke mwenyewe au mtu mpya hapana hapana.
Mtakaotukana tukaneni tu, nahitaji njia za kumrudisha.
Yupo kwao
Huku hawez kujaaa!kashatusema sanaa,acha avune alichopanda
Huku hawez kujaaa!kashatusema sanaa,acha avune alichopanda
Ulimkuta na bikra zote 2?Habari wakuu wa kaya.
Nina account humu ila imebidi nifungue nyingine sababu tunafahamiana na baadhi ya watu humu na mimi ni mjuaji yani mbele za watu napenda kuonekana mwanamke hawezi kunipelekesha.
Nimemkosea mke wangu wa miaka 7 ya ndoa. Miaka 7. Tuna watoto wawili. Amegoma kunisamehe ameondoka, naumia kuwaza kuna mwanaume anaweza kummliki.
Msinishauri nijikaze, siwezi siwezi siwezi kuona kuna mwanaume atakuja kuwa anatambulika kama baba au uncle kwa wanangu, nasema siwezi. Ameacha kila kitu nyumbani ina maana kuna mtu ataenda kumnunulia vingine au? Nimejenga ila sioni faida ya kuishi kama watoto wangu hawazunguki nyumbani hapa na kelele zao.
Siamini kuzaa nje ovyo ovyo najua madhara yake. Nifanyaje arudi mama Doreen wangu. Amenivumilia mno. Najisikia vibaya sana naishi kama mhuni tu nyumbani. Nifanyeje arudi. Nizeeke mwenyewe au mtu mpya hapana hapana.
Mtakaotukana tukaneni tu, nahitaji njia za kumrudisha.
Yupo kwao
WAIFU AMERUDI NYUMBANI RASMI JANA IJUMAA. Niliusikiliza na kuufuatilia ushauri wako ulinigusa sana. Nilijifunza kumrudia Mungu huku naendelea kumtafuta mara kwa mara kwa meseji,vocha,watoto wangu niliwapelekea zawadi. Nikiri sitarudia tena kumkosea heshima na kuharibu nyumba yangu. Nimeamka mapema kuwaandalia breakfast matata after stealing the 'SHOW' na kummaliza kabisa.Una uhakika unajutia?
Una hakika unauhitaji msamaha na hautorudia?
Inaonekana vitendo vyako vilimchosha na vikasababisha majeraha ya moyo. Sasa ikiwa unajutia kweli je unaweza kusali??
Ushauri: Rudi kwa Bwana Mungu. Embu tulia muombe Mungu msamaha kwa makosa uliyofanya. Katika toba ndipo kuna msamaha wa dhambi.
Jisacrifice omba toba tena kwa kufunga ikiwezekana. Ulishaichezea ndoa kwa kutoiheshimu. (Ndoa na iheshimiwe na watu wote..)
Kaa katika machozi kwa Mungu. Then ukishasikia nafuu muombe Mungu amrudishe mke wako. Sasa huku unamuomba Mungu huku unamtafuta physically. Yani rohoni na mwilini. Mtafute tu. Msalimie, mjulie hali, kila unapomtafuta omba msamaha. Mwambie umejutia kweli.
Anza kumtongoza upya. So huku unaomba mbele za Mungu ili ambadilishe moyo wake, huku unamtongoza. Ulishamess up so maybe jaribu hii njia.,..na Mungu aendelee kukuelekeza cha kufanya.
Wapendwa tuiheshimu ndoa, tuipende ndoa...tumuogope Mungu wapendwa.
#go
Huu ndio ushauri sasaUmemkosea nini?
Achana nae mbona wanawake ni wengi tu, piga chini (walisikika wakulungwa wa JF wakiongea)
Haha nilienza nae ndio nitakaemaliza nae gubegubes no no heri shetani ninaemjua na niliemzoea kuliko malaika mpyaHuu ndio ushauri sasa
Piga chini oa mwingine(😅😅si huwa unashauri wenzio hivi?)Una maneno makali sana kiufupi nimekosea kweli si mara moja yani mara nyingi kila aina ya jambo baya unalojua. Kiukweli kanivumilia yani atachukua mkopo anisaidie huku na kule japo yeye ana mshahara mdogo mpk tumetulia sasa hivi.
Niliamua kuuchuna kutomtafuta na yeye kimyakimya nimepeleka maua ofisini kwake asubuhi leo kuchunguza nasikia yamewekwa reception kwao. Kweli?? Huyu nani anamfundisha?hata kama amenichoka sio hivi. Nimemiss familia yangu kutoka moyoni,inanitesa sana hii nimepata uhuru wote duniani kuachwa lakini sitamani hata mijitu mingine da maishaaaa
Subutu😄😄😄 wajinga wanafuata huu ushauri wajanja tunachakata utaoa wangapiPiga chini oa mwingine(😅😅si huwa unashauri wenzio hivi?)
Wow wow wow a very powerful testimony.WAIFU AMERUDI NYUMBANI RASMI JANA IJUMAA. Niliusikiliza na kuufuatilia ushauri wako ulinigusa sana. Nilijifunza kumrudia Mungu huku naendelea kumtafuta mara kwa mara kwa meseji,vocha,watoto wangu niliwapelekea zawadi. Nikiri sitarudia tena kumkosea heshima na kuharibu nyumba yangu. Nimeamka mapema kuwaandalia breakfast matata after stealing the 'SHOW' na kummaliza kabisa.