Mh! namm nimeanza kushtukia! huu ni urongo sasa, kama ushauri wa kwenda kwa dr. unsasema hataafiki (mashaka) kumuandaa unamuandaa. kati ya ushauri woooooote wa wadau hm ndani hakuna hata mmoja ulioahidi kuufanyia kazi kwa kuona haukuffai! unataka tukuambieje, au lengo ni kuanzisha mjadala tuuuu usio maana!!!! Jaribu hv...
1. Nenda kwa Dr. kama haiwezekani kwenda....
2. Labda hujui kufanya mapenzi unajua ngono tu (jifunze) kama haiwezekani....
3. Inawezekana unataka kumla TIGO Mkeo! kama si kweli....
4. Acha kumfanya mkeo, PIGA PUNYETO, Kama haiwezekani.....
5. Labda una mpango wa kuachana naye, OA PUNDA.
TENA INAWEZEKANA HAUNA MKE! AU HAKUPENDI, UNALETA MACHEJO TUUUU!
Wanajamii naombeni ushauri kwanza najua kabisa kwamba mke wangu sio mpenzi wa tendo la ndoa kama mimi.
.......
Sasa jamani nifanyeje na mimi bado nampenda mke wangu na ninahitaji kula tunda?
Hii noma sasa. Kwa hiyo PUNDA ndio 'watatoshana'?
Bwa-ha-ha-ha-ha-ha-ha-haTusikimbilie kusema kwamba hamuandai mkewe, umesema mkeo hata hakuchokozi mpaka umuanze wewe! na mkifanya hajiskii kufanya! na mkimaliza unamtoa damu! tena wewe mandingo yako kubwa mno (nna mashaka! kwani wakati mnaanzana mandingo yako ilikuwa bado haijakua?) hilo la mpingo mkubwa sikubaliani nalo.....labda kama una kilema(yaani una kilema cha uume ni mkubwa sana). Uwezekanao mkubwa katika hili ni matatizo kwa mkeo, labda ana maambukizi yanayofanya uke kukauka au kuwa na vidonda vidogovidogo sana, na pia kumuondolea hamu ya yeye kufanya tendo la ndoa. Kwa ushauri wangu nendeni mkamuone doctor, na hii thread muihamishie kule chini kwa madoctor, mtapata msaada wa kitaalamu, HUKU KUNA WALIMU WENGI WA KUFANYA NGONO WAKATI WAKE ZAO WAMESHAWAKIMBIA! Pole sana muzee.
Ha ha haaaaaaaaakitalolo hebu jaribu kukijua kifaa ulichopewa jinsi ya kukitumia
hebu jaribu kumuuliza wife ni vip anakuwa confotable wakati wa mahaba
na swala la kumtoa damu nenda Hosp mkapate ushauri wa daktari
inawezekana una chuma cha reli
Ile kitu ni elastic bana hamna cha ndude kubwa wala nini. Mtoto anapita seze hicho?
Wanajamii naombeni ushauri kwanza najua kabisa kwamba mke wangu sio mpenzi wa tendo la ndoa kama mimi.
Mara nyingi nimekuwa mimi ndio mwanzilishi wa kuomba kwamba nahitaji au vinginevyo imefikia mahali naona kama namlazimisha na anafanya kama vile ni laizima.
Pili naona kama maungo yangu yanamzidi uwezo yaani nimekuwa nikifanya kwa utaratibu bila kufanya stailli mbalimbali ili nisimuumize lakini inavyoonekana ni kwamba anapata maumivu sana nikimuuliza huwa anaogopa kusema lakini pia amekuwa akitokwa na damu mwakati wa tendo la ndoa, hivyo naona kuwa labda pngine ni kutokana na kiungo kikubwa Mungu alichonijaalia.
Sasa jamani nifanyeje na mimi bado nampenda mke wangu na ninahitaji kula tunda?
huyu jamaa atakuwa anakosea tundu la kuingizia..! anapiga shift ..! kila siku damu wapi...?
Nimeistukia mapema hadithi yake ya kutunga na majisifu kibao! Ati mkewe ana aibu hadi anaogopa kwenda kununua pedi, si uongo huo? Ina maana kabla hajamuoa huyo dada alikuwa hatumii pedi, au alikuwa anatumia nini kuogopa aibu? Mwongo tu!
huyu jamaa atakuwa anakosea tundu la kuingizia..! anapiga shift ..! kila siku damu wapi...?
...ee bwanaaa eeeh, kuna siku nilikuwa Mikumi national park, nafanya utalii wa ndani... kuna guide mmoja wa kike alitusimulia kuhusu mfanyakazi mmoja wa national park...alikuwa na mtaimbo kama tembo! Akifanya mavituz na kimwana lazima aharishe.... Hakuna dada anayekaa naye, kila akipata mpya anaanza!
labda na jamaa yupo hivo...watu kama hawa hawana ushauri hahaha