kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
Wanajamii naombeni ushauri,
Kwanza najua kabisa kwamba mke wangu sio mpenzi wa tendo la ndoa kama mimi. Mara nyingi nimekuwa mimi ndio mwanzilishi wa kuomba kwamba nahitaji au vinginevyo imefikia mahali naona kama namlazimisha na anafanya kama vile ni lazima.
Pili naona kama maungo yangu yanamzidi uwezo yaani nimekuwa nikifanya kwa utaratibu bila kufanya stailli mbalimbali ili nisimuumize lakini inavyoonekana ni kwamba anapata maumivu sana nikimuuliza huwa anaogopa kusema lakini pia amekuwa akitokwa na damu mwakati wa tendo la ndoa, hivyo naona kuwa labda pengine ni kutokana na kiungo kikubwa Mungu alichonijaalia.
Sasa jamani nifanyeje na mimi bado nampenda mke wangu na ninahitaji kula tunda?
Kwanza najua kabisa kwamba mke wangu sio mpenzi wa tendo la ndoa kama mimi. Mara nyingi nimekuwa mimi ndio mwanzilishi wa kuomba kwamba nahitaji au vinginevyo imefikia mahali naona kama namlazimisha na anafanya kama vile ni lazima.
Pili naona kama maungo yangu yanamzidi uwezo yaani nimekuwa nikifanya kwa utaratibu bila kufanya stailli mbalimbali ili nisimuumize lakini inavyoonekana ni kwamba anapata maumivu sana nikimuuliza huwa anaogopa kusema lakini pia amekuwa akitokwa na damu mwakati wa tendo la ndoa, hivyo naona kuwa labda pengine ni kutokana na kiungo kikubwa Mungu alichonijaalia.
Sasa jamani nifanyeje na mimi bado nampenda mke wangu na ninahitaji kula tunda?