jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 22,235
- 42,982
Inaumiza sana hii, vijana wenzangu tujitahidi sana kuishi maisha yetu ya asili.
Wanawake :- hii ni sumu mbaya sana kwenye masuala ya uzazi
. Vipandikizi
. Njiti
. Vitazi
Huwa wanakuja kugundua wameshachelewa,ujana maji ya moto