Mke wangu hapendi ndugu zangu.

Mke wangu hapendi ndugu zangu.

Pole mkuu...
Mwanamke kisirani ni tafrani ndani ya nyumba.
Em kaa na wazazi wake mkeo uongee nao then kaa na mkeo,then wazazi wako..af finally mkutane wote mzungumze mtafute na kiongozi wa dini mmoja awashushie maandiko,..tena umpe hata hela maandiko na maneno yote yamlenge mkeo kuwa chanzo maana ndo inavoonekana.
I hope utapata akili.

WARNING: USHAURI WA JF UUCHUJE THEN UCHANGANYE NA WAKWAKO NDO UUTUMIE KWA MAKINI,OTHERWISE UTAPANDWA HASIRA UTAHARIBU MPANGI MZIMA!

GUDLUCK Dude.

Copy Tarime one
 
Last edited by a moderator:
Venine ;me Niko Dom wazazi wako musoma;nitajaribu kufuata ushauri wenu, ingawa in tatizo Kubwa kuliko wengi mnavyofikiri,ahsanteni.
 
Pole mkuu...
Mwanamke kisirani ni tafrani ndani ya nyumba.
Em kaa na wazazi wake mkeo uongee nao then kaa na mkeo,then wazazi wako..af finally mkutane wote mzungumze mtafute na kiongozi wa dini mmoja awashushie maandiko,..tena umpe hata hela maandiko na maneno yote yamlenge mkeo kuwa chanzo maana ndo inavoonekana.
I hope utapata akili.

WARNING: USHAURI WA JF UUCHUJE THEN UCHANGANYE NA WAKWAKO NDO UUTUMIE KWA MAKINI,OTHERWISE UTAPANDWA HASIRA UTAHARIBU MPANGI MZIMA!

GUDLUCK Dude.

Copy Tarime one

Kasaambiwa anasikiliza wazazi halafu tena aite wazazi kusuluhisha???!!!!
Hapo ndio atakuwa kampa mwanamke uhakika kuwa yeye ni mamaz boy.
Mtoto wa kiume hapana kukimbilia kwa wazazi asee,ni weakness kubwa sana hiyo.
Demokrasia ya mapenzi ndio mwisho wake huo!!!!



Weka masharti ya nyumbani mzee achana na neno baby na honey wakati unakoroma mwite jina lake umzindue kuwa ndoa ni hadhi tu yeye anabaki kuwa yeye!!!!!
 
Last edited by a moderator:

haha...sijui mnapoteza nini muda kudai ni mchagasijui ni nani....huyo mwanamke ni strong km huyu jamaa kaamua kutawaliwa na ndugu zake na mke akawaolea wao alitegemea mwanamke mwenye akili afanye nini?


Mwanamke aanamtaka jamaa awe strong na kuweka mambo bayana kwa ndugu zake.Km ndicho anachoogopa basi na hao ndugu zake wamruhusu na yeye akawaongoze ktk nyumba zao.
 
haha...sijui mnapoteza nini muda kudai ni mchagasijui ni nani....huyo mwanamke ni strong km huyu jamaa kaamua kutawaliwa na ndugu zake na mke akawaolea wao alitegemea mwanamke mwenye akili afanye nini?


Mwanamke aanamtaka jamaa awe strong na kuweka mambo bayana kwa ndugu zake.Km ndicho anachoogopa basi na hao ndugu zake wamruhusu na yeye akawaongoze ktk nyumba zao.

Lkn hizo ni tabia za kichaga lzm ukubali!
Manake ukija kwenye suala la undugu wa mume wachaga nuksi sana.
 
Lkn hizo ni tabia za kichaga lzm ukubali!
Manake ukija kwenye suala la undugu wa mume wachaga nuksi sana.

Ukabila utakuua...jamaa anaingea na kutoa sababu ambayo mke wake anampa.Nyie mnaingiza uchaga.Uchaga ndio unamfundisha mwanamke kwenda kuwa chini wakwe ktk kila kitu?Mwenye mke ahajatoa maelezo y akutosha km kweli au uongo yeye kila kitu wanaamua ndugu.

Hapa hata wazungu huwa hawapendi hii habari hata siku moja,wanategemea kukuta mwanaume jasiri anayeweza tenganisha majukumu na mapenzi, huku akiweka mipaka sawia kwa ndugu kwa mke ambaye ni wake si wao.

Km na wew unaendekeza haya basi utakaa na wake wenye akili za ndege wasioweza kushauri.Hata huko pwani utasikia wakilia visa vya wakwe,mawifi etc.Kuna wajinga nimekuta wanaruhusu ndugu zao kuwapiga wake zao.
 
option zimetolewa nyingi hapo juu chakufanya USIKUBARI ZA KUAMBIWA TU CHANGANYA NA ZA KWAKO! kuwa mbayuwayu
 
Lkn hizo ni tabia za kichaga lzm ukubali!
Manake ukija kwenye suala la undugu wa mume wachaga nuksi sana.

bado unazidi kujionyesha unyonge wako....waafrica wengi wana shida sana.Km ilivyokuwa mtoto ni wa jamii nzima,hata wake ni wa familia nzima.Tumeona watu wakiruhusu ndugu kuwapiga wake zao, matokeo yake wake zao wakikataa kutoa uroda wanapigwa na mume akiambiwa nakuwa mkali anamwongezea kuwa anamdhalilisha ndugu yake wakati yeye ndie anayemtaka,wengine huwaamabi kwanii hawajampa.

Wachaga wengi sana wamekuwa na tahadhari ktk familia nyingine..kwani waume zao wakifa wengi huishia kurudi kwao kwa jinsi kila kitu kinavyogombaniwa.Na kuachiwa watoto pekee yao wawalee...ipo mifano mingi kwa walioolewa mbeya,rukwa, mara, na pwani.....kwa majirani zao wa kiarusha.


Kwa taarifa yako tuu huyo mwanamke kaona udhaifu wa huyo jamaa ktk mengi sana, na kuamua chukua hilo moja la kuamuliwa na ndugu zake, ili lisiwe chungu kwa huyo jamaa.Jamaa asipokuwa mwanamume kamili na kuind afamilia yake sioni ugumu kumwambia si muda ndoa inavunjika wakati wanaomshawishi wengi wao kwao hapaingiliwi.
 
Venine ;me Niko Dom wazazi wako musoma;nitajaribu kufuata ushauri wenu, ingawa in tatizo Kubwa kuliko wengi mnavyofikiri,ahsanteni.

Muzee wanawake wengi wanapenda sana uwazidi akili na maamuzi..na wanataka yawe yako.Ili awe na fahari ,imani n amani ktk roho.Kwa vile atakuwa na ulinzi.Hembu angalia wanaokushauri ktk ndugu nao pia wanakuruhusu au hata wewe huwa unaingilia mamo yao kihivyo.Nina uzoefu sana na watu wanaoshauri wengine vibaya..huwa wanakuf ana wake zao tena vichaa na wachawi,wasio haa wapa vyakula kw akiasi huwa wanakwenda kula kwa wale wanaowashauri kuacha wake au kuwafanyia wake hivi na hivi.


hata wazazi hupenda sana jisia wana mamlaka au kuona kuwa mtu aliyeongezeka i mkali sana kiasi cha kuwafanya share yao ipungue.Kwa taarifa yako wazazi ni selfish sana.Huwa wanapenda uwatumikie wao tuu hadi wafe,tena ziadi hata ya wewe kujitunza.Ukiwapa nafsi bila akili hawaikatai wala kukubakishia kitu.

Wanawake wanoana kuliko wanaume...Pia sikuambii nao usiwapime na kuwaweka sawa.Ila jitahidi sana wakati unamweka sana mkeo basi kweli uwe upo sahihi,akija kushtukia dili ni kushindana nae akaanza kushindana basi nyumba huwa ya mashindano na wewe ndio wa kulaumiwa.

weka sheria za jisni ya watu kushirikiana na wewe na mara zote wasikuweke kati ya mkeo au wao.
 
Mimi ni muhanga wa tabia kama hiyo ya wanawake, wengi wao wala huwa hawana sababu yoyote ya msingi bali huwa wamejaa CHOYO, UBINAFSI n.k.

Na kumrudisha mke kwa wakwe akajifunze adabu hiyo wala sio hukumu bali ni utaratibu wa kimila za kibantu...unless uniambie hufahamu vizuri mila za Kitanzania.

Mimi pia nimeshaishi na ndugu wa mume wenye chuki, choyo, wachonganishi na wasio na adabu pia! Sio sawa kabisa kugeneralize kwamba hapo mke ana makosa, hata hao ndugu za mume ni binaadamu, hawapo perfect hata kidogo! For your information, mara nyingi ndugu za mke huwa na adabu sana kule binti yao alipoolewa ila ndugu za mume wengi sana ni majanga!!
 
Venine ;me Niko Dom wazazi wako musoma;nitajaribu kufuata ushauri wenu, ingawa in tatizo Kubwa kuliko wengi mnavyofikiri,ahsanteni.

hilo tatizo litakuwa na history yake. mwanzo uliliona dogo, ukalilea mpaka lilipofika. lazima kuna sehemu walipishana (mkeo na nduguzo), na labda kwa kuwa wote hawakuwa na busara kila upande ulijiona una nafasi kwako wewe kuliko mwingine, ndugu wanategemea uwe upande wao na mke anataka uwe upande wake. na wewe kwa kuhofia kuwaudhi wote ukaamua kukaa kimya

ndugu ni zako, na mke ni wako pia. wewe ndiye ulitakiwa usome pande zote 2 na uwaelewe wanachogombania na kuwaweka sawa (bila kupendelea upande wowote). pale ambapo unaona ndugu wanakosea, usiogope kuwaambia ukweli. wakikwambia mkeo yupo hivi na vile, waambie yule ni mke wangu nitakwenda kumuweka sawa mwenyewe.
mkeo naye mpe facts zake. kaa ongea naye, mwambie hana sababu yoyote ya kushindana na ndugu maana yeye ndio ubavu wako. lakini na wewe play part yako kama mume/ baba wa familia.

mi kwanza nashangaa, ilikuwaje mpaka ndugu wa pande zote 2 mkawagombanisha na wao. kila mtu alikuwa anaenda kushtaki kwa wazazi wake? sometimes ni ukweli mgumu kuumeza kwamba ndugu/ wazazi nao wanakosaga busara.

kumuacha mke uliyekaa naye miaka zaidi ya 10 won't make life better. hao wanaokwambia uache mke ikifika jioni wao wanaingia chumbani na wake zao kulala, wewe utabaki unang'aa macho (sijui utamuita mama/ kaka/ dada mpige story wakati wa kulala). na hao wanaosema wanawake ni wengi utaoa mwingine, what if kama ndugu zako na wewe mna tatizo kweli, nayeye si yatamshinda? utaoa wa tatu
 
Piga chini yeye hajui wazazi wanapaswa kuheshimiwa bila kujali wanakukera au la!
Anafikiri sasa kwa kuwa na hao watoto 3 basi haiwezekani kumuacha mpe red card au jaribu basi hata yellow card kama hiyo red unaogopa!!!!!!!!!!!!

Mmmmm hata wewe Shemeji??? Yule Dada yetu mrembo wa JF kakuboa nini?? Si ulisemaga umeweka treaty ya kutuheshimu wadada kwa sababu yake lol??
Nimesikitika kama kakubwaga shemeji yetu!
 
Muweke chini mkeo ili ujue nini tatizo then kaa na wazazi wako ujue na upande wao kuna nini?
Lbda sio chaguo lao.
 
Mimi pia nimeshaishi na ndugu wa mume wenye chuki, choyo, wachonganishi na wasio na adabu pia! Sio sawa kabisa kugeneralize kwamba hapo mke ana makosa, hata hao ndugu za mume ni binaadamu, hawapo perfect hata kidogo! For your information, mara nyingi ndugu za mke huwa na adabu sana kule binti yao alipoolewa ila ndugu za mume wengi sana ni majanga!!


bora umesema kweli, ndugu za mume wakija kwa home wanakuwa na amri kama kaka yao vile, kiufupi ndg za mume wengi ni majanga..ndugu za mke mara nyingi wanaheshima na kujishusha lkn wa mume sijui wanakuwaga na matatizo gani
 
Back
Top Bottom