Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,742
Jamani wana JF naomba ushauri wenu,niko ndani ya ndoa zaidi ya miaka kumi tuna watoto 3,kinachofanya niombe ushauri ni kwamba baada ya kufunga ndoa ndani ya mwaka 1 familia yangu ilianza kuwa na migogoro isiyoisha,tatizo mke wangu hapendi ndugu zangu hasa wazazi wangu,imefikia ndugu wa pande zote mbili wazazi wa mke na wazazi wangu hawasalimiani,kisa anadai mie nafanyiwa maamuzi na wazazi wangu,imefikia mahala sasa hataki kuwasalimia hata wazazi wangu,nifanyeje?