Mke wangu hajui kusamehe hata ukiomba msamaha

Mke wangu hajui kusamehe hata ukiomba msamaha

zamani nilikuwa nachukia sana ninapoona wanawake wenzangu wakipigwa na waume zao...bt nw i understand, aisee some women ni shedah! yaan unakuta jitu limejaa kiburi hadi unajiuliza kama alishawahi hata kufanya toba kwa Mungu wake..mana anajiona sahihi muda wote! Mungu ambaye ni mtakatifu anasamehe sembuse binadamu mjaa dhambi?? na kama alijua wewe ni mbaya sana, kwann alikubali kuolewa na wewe? kusafisha jina? sasa cha kufanya;
-punguza unyenyekevu kwake,onyesha wazi kuwa hufurahii ndoa. Onyesha wazi umeichoka tabia yake! akianza minenoneno mpotezee/mdharau!Aasikwambie mtu wanawake hatupendi kupotezewa! hiyo itakuwa bonge la adhabu! tena akianza kugomba...ondoka, rudi baadae sana, halafu kimyaaa! ataanza kujiona mjing a! kuwa mtu wa vitendo zaidi.

-ukimkosea mwombe msamaha mara moja tu, bt akiendelea kubwata usimbembeleze! toka mwache aongee peke yake! ukirudi akianza kurap, hama chumba...
-akikukosea ukimwambia kosa lake, akaanza kubwata, mwendo ni uleule tafuta cha kufanya, chukua hata cm kuwa nayo busy, wala usimnyenyekee! liache libwate weee, mwisho atajiona mjinga.

-acha kuwa naye busy! anza kumwonyesha kuwa yeye sio sababu ya wewe kuishi! mwonyeshe kwamba there is a lot to live for.. yaan hata ukiwa hm kuwa busy na mambo yako, km huna lakufanya kuwa busy na kids au hata simu na laptop yako! nakwamia atashuka tuuuuu!

Wanawake tuna tabia moja, tukijua tunapendwa huwa tunapenda kuonea..bt tukibadilikiwa tunakuwa wapooooleee! nakwambia atachange tu na utaifurahia ndoa yako. Neno la Mungu linasema 'wanaume ishini na wake zenu kwa akili' why..coz ni viumbe dhaifu. So akili ku kichwa bt zaidi mwombe Mungu ambadilishe

Well said Rachel no comment coz women understand themselves!!!!! puh
 
umeshakunywa maji ya gagulo wewe,unawezaje kumuomba msamaha mwanamke.
 
pole ndg. Joshua hizo ndio changamoto za ndoa, mimi nina mke mchaga (Mkibosho) siku mkikorofishana anabwabwaja ovyo mpaka unapata hasira ya kumtwanga ngumi maana hachagui maneno ya kuongea nilijaribu kumuonya naona akawa haelewi, mara ya mwisho nikamuambia ukiendelea na hayo MAKELELE yako na KUTOKUSAMEHE ndo utakuwa mwisho wa mimi kuishi na wewe hapa home (nitaondoka nikapange chumba niishi huko) akajibu kwa dharau kuwa YUPO TAYARI TUACHANE, Bro! mwezi uliofuata nilipanga chumba maeneo ya MIANZINI (Arusha) nikamuachia nyumba na gari. Na ninatuma pesa ya matumizi ya mtoto. Sasa nina amani hakuna wa kunipigia KELELE

Daah hili ni wazo zuri sana!! Kwasasa nayavumilia ila yakinizidi tu nitafanya hivyo kama wewe....wadada waleo ni hatari saana
 
Pole sana Mkuu utabiri unaonesha mke waku ana Hard disc yenye Memory kubwa sana.So anashindwa kudelete mafiles.
 
Amani ya roho kaka, kama nyumba wanaishi wanangu haina shida kabisa naiacha mchana kweupe kuliko kuja kuua (Mungu aepushie mbali kabisa) ukafungwa na watoto usiwaone tena!!!!

Like 10000 olesaidimu,..mwenyewe huwa napenda amani kuliko kingine chote..
 
Wanawake wengi (hasa WACHAGA) ni wazuri kung'ang'ania NDOA lakin ukishamuoa ni JEURI, KIBURI na DHARAU, wewe mwenyewe mwanaume utatafuta Mchepuko bila kuambiwa. Wanawake wa KICHAGA badilikeni

Hawa watu kwa kweli wanadilike asee. Hivi majuzi tu jamaa yangu kamtema mke wake wana watoto 2, but kaamua kumuacha yaani. Kampa kila kitu ndani ya nyumba, yeye kaamua kuanza upya. Duh, hawa watoto wa moshi sijui nani kawaroga. Yaani mpaka huruma, ndo maana wengi wanapenda wasukusu sababu wanajua wapole na hata kuwapanda vichwani waume zao. Wabadilike kwa kweli.
 
wengi wenu hayajawakuta haya ya mwanamke kubwabwaja ovyo, kuna wakati unatamani umtie makofi na makone ya kutosha lakini hilo likifika kunako WANAHARAKATI mbona utalijua jiji. La muhimu ni kuondoka eneo la tukio ukapoteze muda huko mbali, ikizidi tambaaa jumla (uwe unatuma hela ya matumizi kupitia akaunti ya benki, au m-pesa)
 
Pole sana mkuu.Jaribu kukaa nae chini kipindi akiwa hana hasira wala ww huna then mzungumze
 
Umeshachokwa achana nae LA sivyo atakuletea magonjwa ndani ya nyumba
 
wanawake mkishaolewa mnajisahau sana mnajibwetekea kama vile ndo mwisho wa dunia. yaani mnaboa kupitiliza mnabwabwaja, mnakuwa wachafu na kutoa siri za ndani kwa mashosti zenu
 

inategemea huenda ukiomba msamaha
humaanishi unarudia kosa mara kibao
kuomba msamaha nako lazima umaanishee
sio leo unaomba kesho unarudia ebooo
 
kaka dawa ya mwanamke muongeaji namna hiyo ni KUMKUNA vizuri yaani unamtt.omba mpaka unahakikisha amekojoa hata mara tano hivi kiasi anapata kiu anaishia kuomba MMA!! Mwanamke usigombane nae kwa Maneno, panga siku hasa WEEKEND (hakikisha hakuna watoto wala dada/housegirl nyumbani, mnywee supu ya pweza ukianza kumsukumia NGOZI hesabu mpaka zifike Bao 5 kwanza ndo unamruhusu akajimwagie maji kwa ajili ya round ya pili. Siku hiyo msitoke wala kuwasha simu, kazi ni moja tu. nakuhakikishia hayo makelele hutayasikia tena
 
Back
Top Bottom