Mke wangu hajui kusamehe hata ukiomba msamaha

Mke wangu hajui kusamehe hata ukiomba msamaha

kaka dawa ya mwanamke muongeaji namna hiyo ni KUMKUNA vizuri yaani unamtt.omba mpaka unahakikisha amekojoa hata mara tano hivi kiasi anapata kiu anaishia kuomba MMA!! Mwanamke usigombane nae kwa Maneno, panga siku hasa WEEKEND (hakikisha hakuna watoto wala dada/housegirl nyumbani, mnywee supu ya pweza ukianza kumsukumia NGOZI hesabu mpaka zifike Bao 5 kwanza ndo unamruhusu akajimwagie maji kwa ajili ya round ya pili. Siku hiyo msitoke wala kuwasha simu, kazi ni moja tu. nakuhakikishia hayo makelele hutayasikia tena
Safii
 
Unataka ushauri bila kutaja hayo makosa? Unanshangaza!

Kuna makosa hayasameheki, mfano kama unataka kumpelekea magonjwa ya zinaa nyumbani kwa uasherati? akusamehe?

kwa makosa kama hayo mimi kwanza nnakufunga jela, ukatie adabu na talaka yako inakufata huko huko.

Kama kazi yako kuharibu vitoto vidogo akusamehe?

Bila kutupa makosa asiyokusamehe, ni vigumu kupata ushauri wa maana, utadanganywa tu JF.
Shikamoo Bibi
 
Mimi nimeoa yapata miaka 5 sasa na tumejaliwa watoto wa 3 katika ndoa yetu na mke wangu, sasa shida inakuja imetokea nimefanya kosa na kuomba msamaha kwa mke wangu, itachukua hata siku 4 au 5 "kusema nimekusamehe"

Hapo utadhani umesamehewa lakini siku imetokea ugomvi/kutokuelewana atakumbushia makosa yako yote toka enzi za uchumba na anakuambia hakusamehe kipindi kile.


Lakini yeye hata kama amekosea ukamuambia kistaarabu pale alipokosea hujihami kwa kupaza sauti kuwa amechoka na hii ndoa na kupiga makabati kisha hutoka chumbani na kubamiza mlango kwa nguvu.

Ushauri tafadhali


Hicho kiwanda cha kukuchonga.
 
Mimi nimeoa yapata miaka 5 sasa na tumejaliwa watoto wa 3 katika ndoa yetu na mke wangu, sasa shida inakuja imetokea nimefanya kosa na kuomba msamaha kwa mke wangu, itachukua hata siku 4 au 5 "kusema nimekusamehe"

Hapo utadhani umesamehewa lakini siku imetokea ugomvi/kutokuelewana atakumbushia makosa yako yote toka enzi za uchumba na anakuambia hakusamehe kipindi kile.

Lakini yeye hata kama amekosea ukamuambia kistaarabu pale alipokosea hujihami kwa kupaza sauti kuwa amechoka na hii ndoa na kupiga makabati kisha hutoka chumbani na kubamiza mlango kwa nguvu.

Ushauri tafadhali
Pole. Sasa huyo dawa yake ni kutoomba msamaha hata ukimkosea. Unapiga mute, kama ataongea mwache abwabwaje, akichoka ataacha.

Japo mimi mwanamke hawezi kunisumbua hata kidogo
 
Wanawake wengi (hasa WACHAGA) ni wazuri kung'ang'ania NDOA lakin ukishamuoa ni JEURI, KIBURI na DHARAU, wewe mwenyewe mwanaume utatafuta Mchepuko bila kuambiwa. Wanawake wa KICHAGA badilikeni
Wale wanaoana wao kwa wao! Ndiyo wanawezana.
 
Back
Top Bottom